Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Kwa kweli nahisi taaluma ya sheria imeingia ruba kwani kufuatia maamuzi ya Jaji wa Kesi iliyokuwa ikimkabili Mh. Lema sasa hivi watu wamegundua kumbe ni rahisi tu kubashiri nani atashinda kesi au kushindwa, nasema hivi kwa kufuatilia mitandaoni na kusikiliza mijadala mingi kuhusu utabiri wa hukumu za kesi za uchaguzi.......
Huyu Jaji anafaa kuenguliwa na yeye.................
Huyu Jaji anafaa kuenguliwa na yeye.................