Hukumu ya Kesi ya uchaguzi jimbo la kasulu vijijin kati ya mh zaitun<mbung-nccr> na mshitaki mr nsanzugwanko ni leo hii.niko mahakamani nitawajuza linalojili. Madai ya nsanzu ni kwamba mh. Zaituni alimkashifu kuwa ni mchawi kipind cha kampen kuwa ni mchawi alimuua tedy<rip> mbunge wa zamani kslu. Jaji anaitwa koroso. Mh zaitun anatetewa na advocate rweyemamu,rweyongeza na ndyanabo. Nsanzugwanko anatetewa na advocate musa. Stay tuned!