NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,516
- 17,425
Bado ya moto sana!!!usijetaka jamaa wakanisaka!wapo humu!!!KACHUNGULIE!KWANI DR. TAX KACHUKUA NAFASI YA NANI???Labda Engineer K.
Bado ya moto sana!!!usijetaka jamaa wakanisaka!wapo humu!!!KACHUNGULIE!KWANI DR. TAX KACHUKUA NAFASI YA NANI???Labda Engineer K.
Musiba alishitakiwa kabla Magufuli hajafaMaccm Yana shida sana,
Musiba alitumiwa na sukuma gang kuwachafua wenzie,JPM alipokufa tu,na yeye chali !!!kwishney!! Sasa aliowatukana wanamshitaki !!!
Ila kwa vile wote ni walewale,CCM,hii kitu imehailishwa Ili wajipange,kuwaokoa wote,Membe na Musiba,Ili uko mbele wanaweza wakawatumia kwenye kampeni
Ana hatia tayari, hawezi kuisogelea nuru hivyo kinachomstahili ni hukumu.Musiba kapata siku za kupumua kidogo!! CCM ilikugeuka aisee unaweza kuona dunia ikufunike yeshee.
Ushauri: Musiba mtafute Membe myaongee ki-utu uzima - yanaongeleka mbona.
Jana usiku nimemuwaza huyu.Bado ya moto sana!!!usijetaka jamaa wakanisaka!wapo humu!!!KACHUNGULIE!KWANI DR. TAX KACHUKUA NAFASI YA NANI???