Hukumu ya Kaimu Mkurugenzi Rubada italeta kilio kwa wengi

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,456
2,179
Kwanza kabisa naipongeza Serikal kwa kusimamia maadili ya Utumishi wa Umma hii imesaidi sana kupunguza malalamiko na kuleta maendeleo chanya .

Ndugu wana JF siko kutetea uovu wala kupingana na amri ya mahakama ilaa Nina mawazo fikirishi kuhusu adhabu aliyopewa huyu muhujumu uchumi Aloyce Masanja

Binafsi naona wenye mamlaka wengemuondolea adhabu ya kifungo ili alipe faini mbadala wa kifungo nikiwa na hoja zifuatazo

1.MTU huyu ni mwekezaji katika maswala ya elimu akiwa anamiliki chuo cha kisasa kabisa cha maswala ya kilimo na akiwa na ndoto ya kuwa na chuo kikuu

2.MTU huyu anasidia wanafunzi maskin kusoma chuoni kwake bila kulipa chochote na kuwapunguzia ada wale wenye uhitaji

3.MTU huyu anatoa ajira kwa vijana wengi waliomaliza vyuo

4.MTU huyu anasaidia sanaa wajasiliamali kujifunza maswala ya kilimo ,mifugo na uvuvi kwa kozi fupi fupi

5.MTU huyu ni chachu ya maendeleo na kati ya watu wenye akili za kiuongozi ndo maana alitia nia kugombe ubunge wa jimbo la segerea ili aweze kuwasaidia watu wengi zaidi mahala chuo chake kilipo

Mwisho : Ombi kwa mamlaka husika MTU huyu aangaliwe kwa jicho pana zaidi na aonewe huruma ili badala ya kifungo aweze kulipa fidia kwani miaka aliyohukumiwa ni mingi kwa ustawi wa uwekezaji na pia ni kilio kwa vijana wengi wanaopita ,waliopita na watakaopita chuoni kwake .Na imani hukumu hii imeacha vilio vingi sanaa kwa vijana waliopita kwake na wengi wanaomba mamlaka ziweze kumpunguzia adhabu ya kifungo.

IMG-20200918-WA0022.jpg
 
Haya ndio Mambo tuliyoyakataa mnataka sheria zetu ziwe na macho ili magerezani tufungwe cc maskini tuu.
Hapana mh.hakimu hili ni ombi unawez kuamua inavyokupendeza ,lakin ni bora ujue jinsi MTU huyu anavyo wafaa wengi na pengine akaonewa huruma kama wahujumu uchumi wengine walivyofanyiwa ,
 
Kama anaifaa nchi kwanini aliiba Mali ya umma? Funga hiyo jizi hata zaidi ya hiyo! Tanzania haihitaji mwekezaji tapeli.
Kwenye kutafuta maisha binadamu tunakutana na changamoto nyingii.huwez jua kilichotokea .ndo maana tunasema tumeona wale wa hujumu uchumi wa TRA wanye mabillion wakitoka na kuambiwa walipe hivyoo na huyu sheria ingemwangalia kwa upande huo
 
Kwa hali aliyonayo sidhani kama tarehe 28.10.2020 anaimaliza kama presha yake iko vile
JamiiForums306657440.jpg
 
Hivi ile Utaratibu wa kutubu kosa na kurejesha ikiisha!
Nchi ukiona fedha zenye tarakimu zonazoishia 8 -9,lazima utolewe mfano,Heri usaanzie Tarakimu 10 !
 
Umeandika uharo. Sheria ni msumeno, acha ichukue mkondo wake
Kwanza kabisa naipongeza serikal kwa kusimamia maadili ya Utumishi wa Umma hii imesaidi sana kupunguza malalamiko na kuleta maendeleo chanya .

Ndugu wana jf siko kutetea uovu wala kupingana na amri ya mahakama ilaa Nina mawazo fikirishi kuhusu adhabu aliyopewa huyu muhujumu uchumi ALOYCE MASANJA

Binafsi naona wenye mamlaka wengemuondolea adhabu ya kifungo ili alipe faini mbadala wa kifungo nikiwa na hoja zifuatazo

1.MTU huyu ni mwekezaji katika maswala ya elimu akiwa anamiliki chuo cha kisasa kabisa cha maswala ya kilimo na akiwa na ndoto ya kuwa na chuo kikuu

2.MTU huyu anasidia wanafunzi maskin kusoma chuoni kwake bila kulipa chochote na kuwapunguzia ada wale wenye uhitaji

3.MTU huyu anatoa ajira kwa vijana wengi waliomaliza vyuo

4.MTU huyu anasaidia sanaa wajasiliamali kujifunza maswala ya kilimo ,mifugo na uvuvi kwa kozi fupi fupi

5.MTU huyu ni chachu ya maendeleo na kati ya watu wenye akili za kiuongozi ndo maana alitia nia kugombe ubunge wa jimbo la segerea ili aweze kuwasaidia watu wengi zaidi mahala chuo chake kilipo

Mwisho : Ombi kwa mamlaka husika MTU huyu aangaliwe kwa jicho pana zaidi na aonewe huruma ili badala ya kifungo aweze kulipa fidia kwani miaka aliyohukumiwa ni mingi kwa ustawi wa uwekezaji na pia ni kilio kwa vijana wengi wanaopita ,waliopita na watakaopita chuoni kwake .Na imani hukumu hii imeacha vilio vingi sanaa kwa vijana waliopita kwake na wengi wanaomba mamlaka ziweze kumpunguzia adhabu ya kifungo.

 
Kwanza kabisa naipongeza serikal kwa kusimamia maadili ya Utumishi wa Umma hii imesaidi sana kupunguza malalamiko na kuleta maendeleo chanya .

Ndugu wana jf siko kutetea uovu wala kupingana na amri ya mahakama ilaa Nina mawazo fikirishi kuhusu adhabu aliyopewa huyu muhujumu uchumi ALOYCE MASANJA

Binafsi naona wenye mamlaka wengemuondolea adhabu ya kifungo ili alipe faini mbadala wa kifungo nikiwa na hoja zifuatazo

1.MTU huyu ni mwekezaji katika maswala ya elimu akiwa anamiliki chuo cha kisasa kabisa cha maswala ya kilimo na akiwa na ndoto ya kuwa na chuo kikuu

2.MTU huyu anasidia wanafunzi maskin kusoma chuoni kwake bila kulipa chochote na kuwapunguzia ada wale wenye uhitaji

3.MTU huyu anatoa ajira kwa vijana wengi waliomaliza vyuo

4.MTU huyu anasaidia sanaa wajasiliamali kujifunza maswala ya kilimo ,mifugo na uvuvi kwa kozi fupi fupi

5.MTU huyu ni chachu ya maendeleo na kati ya watu wenye akili za kiuongozi ndo maana alitia nia kugombe ubunge wa jimbo la segerea ili aweze kuwasaidia watu wengi zaidi mahala chuo chake kilipo

Mwisho : Ombi kwa mamlaka husika MTU huyu aangaliwe kwa jicho pana zaidi na aonewe huruma ili badala ya kifungo aweze kulipa fidia kwani miaka aliyohukumiwa ni mingi kwa ustawi wa uwekezaji na pia ni kilio kwa vijana wengi wanaopita ,waliopita na watakaopita chuoni kwake .Na imani hukumu hii imeacha vilio vingi sanaa kwa vijana waliopita kwake na wengi wanaomba mamlaka ziweze kumpunguzia adhabu ya kifungo.

Lakini hoja zote hizo haziondoi Ukweli kua jamaa "kawapiga".
 
Back
Top Bottom