Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kwa hili la DOWANS damu lazima itamwagika na itawakumba na wasio husika kwanini serikali siwaweke wahusika hadharani kwa hili?? Kwanini Dowans iwe kizungumkuti mpaka leo ni miaka mingapi sasa mpaka leo. Dawa ya hawa ni kutowachagua tena na wasitegemee kurudi tena.
Kwa hili la DOWANS damu lazima itamwagika na itawakumba na wasio husika kwanini serikali siwaweke wahusika hadharani kwa hili?? Kwanini Dowans iwe kizungumkuti mpaka leo ni miaka mingapi sasa mpaka leo. Dawa ya hawa ni kutowachagua tena na wasitegemee kurudi tena.