Hukumu ya ICC yamtaja Rostam Aziz mmiliki wa Dowans!

Vyombo vya habari Tanzania vinatia kichefuchefu habari inaandikwa kimafumbo mafumbo utadhani tuko kwenye taarabu. Yani ili gazeti limeshindwa kuwasiliana na ICC na kuomba kopi ya hiyo hukumu?
<br />
<br />
Yaani, unatamani uwatupie jiwe liwaponde vichwani huenda wakachangamka. Sijui vyombo vyenyewe vinamilikiwa na wale wale au vipi! Hivi wakipiga hodi ICC kwa ajili ya interest ya umma wa watanzania, wao kama waandishi wa habari makini, hawawezi kupewa copy ya huo mzigo, kisha wakatumwagia hapa hadharani. Du! Hapa ndipo unapotamani mzee wa Wikileaks, angekuwa na interest na hili, lingekuwa limekwisha miminwa kwenye mtandao.
 
sijaona alipotajwa hebu nionyeshe mkuu

mbona na wewe unakua kama wale tena?

Acid, hata mm niliposoma habr hiyo moja kwa moja nikaona kbs RA, ENL na AC wanahusika. Ww ni mtu mzima bana sio kila kitu uambiwe. Mtu aksm amejisaidia ni mpaka aseme kanya ndo uelewe? Lol sorry!
 
HUKUMU HIYO NI JUU YA SHIRIKA LA UMMA, LICHAPISHWE MAGAZETINI BILA KUHARIRIWA HATA TONE AU KUWEKWA KWENYE MTANDAO:

Hukumu ya Shirika la Umma ni mali ya kutazamwa, kusomwa na kupekuliwa na jamii nzima ya walipa kodi na kuhakikisha kwamba MASWALI YAO YOTE juu ya hukumu kama huo yamejibiwa kwa mapana na marefu, katika mlolongo mzima wa kesi yenyewe tangu inapoanza hadi ilivyomalizika kabla ya mtu na au taasisi yoyote ya Igunga, Tanzania au wa-Kimataifa kama inavyodaiwa kuanza kukinga mkono kutaka malipo yoyote kwetu.

Mheshimiwa Pinda, hapa sasa ndio sehemu yako paa kushauri kuundwa kwa JOPO la wanasheria na wataalam wengine kuupitia hukumu wote na mlolongo mzima wa kesi ili wakatazame MASLAHI YA TAIFA iko wapi. Huu ndio muda wa kulishauri Bunge na wala si Raisi, kupitia kwenye chombo chetu hicho kuteuliwe jopo na kupewa hadidu za rejea mzuri kwetu walipa kodi wakafanyie kazi suala hilo.

Lile la kutaka kumshauri Rais kuteua Madalali / JOPO la kushigulikia KATIBA hakika ilikaa vibaya mno na wala si mahala pake. Katiba ni sisi sisi na UKABWELA WETU HUU WOTE NA ELIMU ZETU ZA NGUMBARU halafu wataalam kuja kuwaweka sawa mawazo hayo bila mianya tata kisheria lakini bila kumaanisha ya kwamba wakaiweke KATIBA kwa lugha ngumu isioeleweka kwa wadau wote wa chombo hicho cha utendaji.
 
Acid, hata mm niliposoma habr hiyo moja kwa moja nikaona kbs RA, ENL na AC wanahusika. Ww ni mtu mzima bana sio kila kitu uambiwe. Mtu aksm amejisaidia ni mpaka aseme kanya ndo uelewe? Lol sorry!
Mkuu... tunapenda sana rumours na speculations na ni unafiki huu umesababisha tuwe hapa tulipo... au wewe basi utakua na sifa kubwa ya unajimu

ICC inashindwa kumtaja au sisi tunashindwa kudai majina, hukumu inahusu tanesco lakini ati walioshindwa kesi hawapewi kopi ya hukumu, tumebakia oh tycoon, oh mbunge, oh vitisho

one has tu-funga paka kengele and make everything out.... alas, na huyu nae anakuja na heading inasema rostam, story imejaa dibaji tunayoijua... wewe ni mtu mzima na nadhani unaelewa watanzania tumefika hapa kutokana tabia yetu ya rumour mongering, corruption, and assuming things they want them to be

samahani kwa hili lakini kama title haiendani na story then kuna mapungufu makubwa, ni bora angesema tycoon, mbunge etc atajwa

we need to get out of these habits
 
Mkuu... tunapenda sana rumours na speculations na ni unafiki huu umesababisha tuwe hapa tulipo... au wewe basi utakua na sifa kubwa ya unajimu

ICC inashindwa kumtaja au sisi tunashindwa kudai majina, hukumu inahusu tanesco lakini ati walioshindwa kesi hawapewi kopi ya hukumu, tumebakia oh tycoon, oh mbunge, oh vitisho

one has tu-funga paka kengele and make everything out.... alas, na huyu nae anakuja na heading inasema rostam, story imejaa dibaji tunayoijua... wewe ni mtu mzima na nadhani unaelewa watanzania tumefika hapa kutokana tabia yetu ya rumour mongering, corruption, and assuming things they want them to be

samahani kwa hili lakini kama title haiendani na story then kuna mapungufu makubwa, ni bora angesema tycoon, mbunge etc atajwa

we need to get out of these habits

Mkuu, unajifanya hutaki kukubali pia kwamba tumefika hapa kwa sababu ya serikali hii ya CCM kuwaachia mafisadi kama RA, EL na wengine ku-run wild, badala ya kuwa jela!
 
Mkuu, unajifanya hutaki kukubali pia kwamba tumefika hapa kwa sababu ya serikali hii ya CCM kuwaachia mafisadi kama RA, EL na wengine ku-run wild, badala ya kuwa jela!
nisome unielewe, nimesema wote, sijasema fulani... Iginga voted for RA, Monduli voted for EL tanzania voted for JK, etc.

we are the one who are still allowing CCM to be there... there is no one to blame but ourselves

BTW, sijifanyi mkuu... lugha hiyo si mwake ati'
 
Habari nyingine zinasema kwamba kile kikao cha hiyo mahakama ya usuluhishi (ICC) yenye makao yake Paris kilifanyika hapa hapa Dar. "Majaji" husika waliletwa hapa kwa ndege kwa ghrama ya you know whom! Hukumu ikatolewa na ikawekwa pembeni kungojea uchaguzi upite.
 
Mkuu... tunapenda sana rumours na speculations na ni unafiki huu umesababisha tuwe hapa tulipo... au wewe basi utakua na sifa kubwa ya unajimu

ICC inashindwa kumtaja au sisi tunashindwa kudai majina, hukumu inahusu tanesco lakini ati walioshindwa kesi hawapewi kopi ya hukumu, tumebakia oh tycoon, oh mbunge, oh vitisho

one has tu-funga paka kengele and make everything out.... alas, na huyu nae anakuja na heading inasema rostam, story imejaa dibaji tunayoijua... wewe ni mtu mzima na nadhani unaelewa watanzania tumefika hapa kutokana tabia yetu ya rumour mongering, corruption, and assuming things they want them to be

samahani kwa hili lakini kama title haiendani na story then kuna mapungufu makubwa, ni bora angesema tycoon, mbunge etc atajwa

we need to get out of these habits

I appreciate your effort kujaribu kuwalinda hao wanaotafuna hela yetu, lakini ujue kwamba hutafanikiwa. All Tanzanians cannot any longer be
fooled all he times! Moto uliowashwa hauzimiki kwa usaliti wa watu kama wewe au yule mwingine anayejiita Dar es Salaam.
 
Habari nyingine zinasema kwamba kile kikao cha hiyo mahakama ya usuluhishi (ICC) yenye makao yake Paris kilifanyika hapa hapa Dar. "Majaji" husika waliletwa hapa kwa ndege kwa ghrama ya you know whom! Hukumu ikatolewa na ikawekwa pembeni kungojea uchaguzi upite.
gademu!!

BAsi hata hao ICC ni makanjanja tu na kuna haja ya kufanya kama walivyofanya wakenya... shit!!
 
I appreciate your effort kujaribu kuwalinda hao wanaotafuna hela yetu, lakini ujue kwamba hutafanikiwa. All Tanzanians cannot any longer be
fooled all he times! Moto uliowashwa hauzimiki kwa usaliti wa watu kama wewe au yule mwingine anayejiita Dar es Salaam.
Mkuu inaelekea umekurupuka au basi hujawahi kunielewa hata siku moja, HIVI UNA AKILI TIMAMU KABISA WEWE?? yani i never expected this from you and i am shocked and gutted kunifananisha na daresalam... unanitia kinyaa kwa kukosa uelewa na subira

In my post there is a point I said tunashindwa kumfunga paka kengele... kama una akili timamu na haujanywa kitu basi ungesoma vyema

hebu niambie wapi nimewalinda au kuwatetea.... my focus was on the title and the news na ni vyema ukawa unaelewa msimamo wa watu au kujaribu kuelewa kuliko kutoa tuhuma

I have never supported anyone who make us suffer let alone CCM

ushauri wangu kwako ni mmoja tu, do rush to post, read and understand the content and context... WANAELEWA WATANIELEWA NA WANANIELEWA KWAMBA SIUNGI MKONO MAFISADI NA HAITAKAA ITOKEE
 
nisome unielewe, nimesema wote, sijasema fulani... Iginga voted for RA, Monduli voted for EL tanzania voted for JK, etc.

we are the one who are still allowing CCM to be there... there is no one to blame but ourselves

BTW, sijifanyi mkuu... lugha hiyo si mwake ati'

Nimekuelewa saaana!! Hivi hata mara moja hujiulizi kwa nini CCM iliwapitisha mafisadi hao kugombea badala ya kuwatupa nje? CCM iliweza kuwatupa nje wagombea kadha kwa sababu za kipuuzi kabisa, lakini hawa ikawaachia!

Tulifurahi kule Rombo wananchi waliamua kutoa hukumu yao kwa yule fisadi mmoja aliyenadiwa na JK wenu kwamba ni mgombea safi! Huenda Monduli na Igunmga walishindwa kutoa hukumu kama hiyo kwa sababu waliibiwa kura!
 
Habari nyingine zinasema kwamba kile kikao cha hiyo mahakama ya usuluhishi (ICC) yenye makao yake Paris kilifanyika hapa hapa Dar. "Majaji" husika waliletwa hapa kwa ndege kwa ghrama ya you know whom! Hukumu ikatolewa na ikawekwa pembeni kungojea uchaguzi upite.

Na haitashangaza kusikia kwamba kikao cha mahakama hiyo kilifanyika katika sitting room ya RA kule Oyster Bay!
 
Mkuu... tunapenda sana rumours na speculations na ni unafiki huu umesababisha tuwe hapa tulipo... au wewe basi utakua na sifa kubwa ya unajimu

ICC inashindwa kumtaja au sisi tunashindwa kudai majina, hukumu inahusu tanesco lakini ati walioshindwa kesi hawapewi kopi ya hukumu, tumebakia oh tycoon, oh mbunge, oh vitisho

one has tu-funga paka kengele and make everything out...
. alas, na huyu nae anakuja na heading inasema rostam, story imejaa dibaji tunayoijua... wewe ni mtu mzima na nadhani unaelewa watanzania tumefika hapa kutokana tabia yetu ya rumour mongering, corruption, and assuming things they want them to be

samahani kwa hili lakini kama title haiendani na story then kuna mapungufu makubwa, ni bora angesema tycoon, mbunge etc atajwa

we need to get out of these habits
wenye papara bwana wanatia huruma... wanataka mtu aje hooo ni rostam hooo kaiba hooo

No tumeshasoma kwenye mwanahalisi, raia mwema, JF, wanabidii, wanahrakati nk... tunataka mtu aje na data zilizoshiba kama ambavyo zak malang amesema kwamba waliletwa dar na hilo hatujaambiwa... mtu aje aseme ni kwanini mkurugenzi mkuu wa tanesco hana file au ripoti ya hukumu... watu tujue kwanini Maajar ambaye ni balozi kampuni yake ndiyo ilisimamia kesi na kama alipata kazi kwa kufuata public procurement procedure, na kama ni kweli ilikuaje kuna wakati tuliambiwa serikali ilipeleka wanasheria hafifu na vitu kama hivyo

sio hooo ati mwisho umefika, tumewasha moto nk.... maneno matupu hayavunji mfupa

ni hayo kutoka kwa kaka mpiganaji
 

Nimekuelewa saaana!! Hivi hata mara moja hujiulizi kwa nini CCM iliwapitisha mafisadi hao kugombea badala ya kuwatupa nje? CCM iliweza kuwatupa nje wagombea kadha kwa sababu za kipuuzi kabisa, lakini hawa ikawaachia!

Tulifurahi kule Rombo wananchi waliamua kutoa hukumu yao kwa yule fisadi mmoja aliyenadiwa na JK wenu kwamba ni mgombea safi! Huenda Monduli na Igunmga walishindwa kutoa hukumu kama hiyo kwa sababu waliibiwa kura!

basi ni vyema sana, kama unakumbuka vizuris ana wakati wa uchaguzi nilipigwa hadi ban kwa kubishana na watu wa ccm waliotetea kila kitu... i am sad kuona mtu anadandia treni kwa mbele na kuwa judgmental

pamoja katika kujenga nchi
 
Hivi haiwezekani bunge likaingilia kati si hukumu bali wakati wa malipo kwanza pesa ni nyingi ambazo ni kodi yetu kwanini zilipwe kwa mtu asiyefahamika? Sisi ndio walipaji inabidi tumjue tunayemlipa si kutuambia Dowans, ni nani hasa au ni kampuni ya kwenye briefcase. Kama serikali ikikubali kuilipa kampuni hewa kama hii basi hatuna haja ya kuwa na serikali.
 
Hivi haiwezekani bunge likaingilia kati si hukumu bali wakati wa malipo kwanza pesa ni nyingi ambazo ni kodi yetu kwanini zilipwe kwa mtu asiyefahamika? Sisi ndio walipaji inabidi tumjue tunayemlipa si kutuambia Dowans, ni nani hasa au ni kampuni ya kwenye briefcase. Kama serikali ikikubali kuilipa kampuni hewa kama hii basi hatuna haja ya kuwa na serikali.
bunge lina uwezo zaidi ya huo.. hata ku-impeach the president, lakini yote hayo yanategemea spika wa wabunge na vichwa vyao

naskia makinda tayari keshaanza kuweka zengwe kuhusu hioja binafsi
 
ukweli uko wazi sana tu sema hawa mafisadi yana nguvu sana... ila muda wao kwa kwenda keko unakaribia tu..
 
Back
Top Bottom