quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
Napenda kufahamu huyu fisadi Chenge leo ndio ilikuwa hukumu yake kwenye ile trafic case inayomkabili pale mahakama ya kinondoni...mwenye taarifa zaidi anijuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kesi imehairishwa mpaka some time next month mshtakiwa amefiwa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/95656-leo-ni-hukumu-ya-kesi-ya-chenge.html
thanks imeahirishwa....Imehairishwa au imeahirishwa?
kesi imeahirishwa mpaka some time next month mshtakiwa amefiwa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/95656-leo-ni-hukumu-ya-kesi-ya-chenge.html
itasikilizwa tarehe 29 mwezi huu
Hivi kumbe mshtakiwa akifiwa hukumu inaweza kuahirishwa?
Vipi kama huyo mshtakiwa yupo mahabusu na akapata msiba hukumu inaweza kuahirishwa?
Na je anaweza kuruhusiwa kuhudhuria huo msiba?
Wataalam wa sheria naombeni mnijuze...........