M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Nimelazimika kutafuta nakala ya hukumu ya Babu Seya na Wanae iliyotolewa leo hii na mahakama ya rufaa, naomba wanaJF wote tuisome between the lines ili tuelewe kilichopelekea wengine kuachiwa na wengine kutoka na from there sasa labda ndio tuanze mjadala kuliko kufanya speculations zisizo na majibu..
Karibuni..
Karibuni..