Hukumu viongozi wa CHADEMA kesho 30/5/2012 mahakama kuu kanda ya Dodoma.

NGOWILE

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
454
258
Wanabodi hukumu inayowakabili viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma itasomwa kesho katika mahakama kuu kanda ya Dodoma kuanzia saa mbili asubuhi.Kesi hiyo inawahusu katibu wa CHADEMA mkoa wa DODOMA mh.Masawe,Mratibu wa wanawake wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Mh.Kunti Yusuph na Mjumbe wa baraza la vijana mkoa wa Dodoma ndugu Edward.Watu hawa kwa pamoja wanatuhumiwa kwa kosa la kufanya mkutano wa hadhara katika wilaya ya bahi pasipo kuwa na kibali cha polisi.Nitawajuza kitakachotokea kesho mahakamani.Kwa wafuasi wote wa CHADEMA walioko Dodoma mnaombwa kuhudhuria mahakamani kwa ajili ya kusikiliza hukumu hiyo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA.
 
Tunashukuru kwa taarifa.
Tutakuwa pamoja nawe hiyo kesho kufuatilia kinachojili huko.
 
Wanabodi hukumu inayowakabili viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma itasomwa kesho katika mahakama kuu kanda ya Dodoma kuanzia saa mbili asubuhi.Kesi hiyo inawahusu katibu wa CHADEMA mkoa wa DODOMA mh.Masawe,Mratibu wa wanawake wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Mh.Kunti Yusuph na Mjumbe wa baraza la vijana mkoa wa Dodoma ndugu Edward.Watu hawa kwa pamoja wanatuhumiwa kwa kosa la kufanya mkutano wa hadhara katika wilaya ya bahi pasipo kuwa na kibali cha polisi.Nitawajuza kitakachotokea kesho mahakamani.Kwa wafuasi wote wa CHADEMA walioko Dodoma mnaombwa kuhudhuria mahakamani kwa ajili ya kusikiliza hukumu hiyo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA.

Bado sijaona kosa lao! Kwani polisi wanatoa kibali au ulinzi? Ninavyofahamu mimi ni polisi wanapewa taarifa na wao wanatoa ulinzi! Hakuna swala la kibali kwenye mikutano!
 
Wanabodi hukumu inayowakabili viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma itasomwa kesho katika mahakama kuu kanda ya Dodoma kuanzia saa mbili asubuhi.Kesi hiyo inawahusu katibu wa CHADEMA mkoa wa DODOMA mh.Masawe,Mratibu wa wanawake wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Mh.Kunti Yusuph na Mjumbe wa baraza la vijana mkoa wa Dodoma ndugu Edward.Watu hawa kwa pamoja wanatuhumiwa kwa kosa la kufanya mkutano wa hadhara katika wilaya ya bahi pasipo kuwa na kibali cha polisi.Nitawajuza kitakachotokea kesho mahakamani.Kwa wafuasi wote wa CHADEMA walioko Dodoma mnaombwa kuhudhuria mahakamani kwa ajili ya kusikiliza hukumu hiyo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA.

Hivi kile kipindi Vijana wa CCM wameandamana na kufanya mkutano bila kuwa na kibali pale Arusha walikuhukumiwaje kwa ajili ya kumbukumbu tu
 
wataaachiwa huru na serikali ilipe gharama za kesi na iombe msamaha kwa kuwasababishia usumbufu na maumivu yasiyo na maana yoyote
 
Wanabodi hukumu inayowakabili viongozi wa CHADEMA mkoa wa Dodoma itasomwa kesho katika mahakama kuu kanda ya Dodoma kuanzia saa mbili asubuhi.Kesi hiyo inawahusu katibu wa CHADEMA mkoa wa DODOMA mh.Masawe,Mratibu wa wanawake wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Mh.Kunti Yusuph na Mjumbe wa baraza la vijana mkoa wa Dodoma ndugu Edward.Watu hawa kwa pamoja wanatuhumiwa kwa kosa la kufanya mkutano wa hadhara katika wilaya ya bahi pasipo kuwa na kibali cha polisi.Nitawajuza kitakachotokea kesho mahakamani.Kwa wafuasi wote wa CHADEMA walioko Dodoma mnaombwa kuhudhuria mahakamani kwa ajili ya kusikiliza hukumu hiyo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA.

Kama hukumu hiiitasomwa basi itakuwa ni one step ahead. Maana haya malaka waliyojipatia polisi ya kuwa watoa vibali kwa wanasiasa kufanya kazi zao yatafikia ukomo. Any type of ruling itakuwa ni positive kwa kukuza demokrasia ya vyama vingi.

Kama watawafunga itakuwa ni nafasi nzuri sana kupaza sauti za upuuzi huu wa polisi kwa amri za wanasiasa kimataifa na kuweza kuionesha dunia kuwa Tanzania wanayoijua si ile wanayoiona. Kama watawaachia kuwa wana haki ya kufanya mkutano pia ni step ahead. Itakuwa mbaya kama watawaachia kwa kukosa ushahidi wa kuwatia hatiani, kama ikifanyika hivyo viongozi wa CDM wakate rufaa.
 
Maamuzi yoyote yatakayotolewa hayatavunja kasi ya wana chadema na wapenda mabadiliko kuelekea Tanzania ya watu waliostaarabika. Sana sana ndiyo yatachochea moto wa mabadiliko.
 
Kesho tupo pamoja high cort.ITAFAHAMIKA TU,PEOPLEZ POWER TUSITENGANE KTK HILI.
 
Back
Top Bottom