kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Yapo mambo kimfumo yanaleta ukakasi hasa namna serikali inavyoendesha mihimili mingine.
Nimeona DPP akitoka mahakamani Arusha kusikiliza hukumu ya kesi ya Ardhi ambayo kwa mujibu wa hukumu hiyo Jamhuri imeshinda.
Nje ya Mahakama DPP anawaeleza waandishi kwamba watuhumiwa walishaanza kukabidhi baadhi ya nyaraka za ardhi iliyokuwa inabishaniwa.
Najiuliza, kwanini DPP ametoka Dodoma kwenda kusikiliza hukumu ya kesi hii? Je alijua Jamhuri itashinda? Alianzaje kufanya mazungumzo na watuhumiwa kabla ya hukumu? Mahakama imejiongoza au imeongozwa?
Nimeona DPP akitoka mahakamani Arusha kusikiliza hukumu ya kesi ya Ardhi ambayo kwa mujibu wa hukumu hiyo Jamhuri imeshinda.
Nje ya Mahakama DPP anawaeleza waandishi kwamba watuhumiwa walishaanza kukabidhi baadhi ya nyaraka za ardhi iliyokuwa inabishaniwa.
Najiuliza, kwanini DPP ametoka Dodoma kwenda kusikiliza hukumu ya kesi hii? Je alijua Jamhuri itashinda? Alianzaje kufanya mazungumzo na watuhumiwa kabla ya hukumu? Mahakama imejiongoza au imeongozwa?