Jf ndo sehemu pekee unaweza kuwa anybody and anywhere.,ivi huku jf wote ni matajiri au?
Kwasabu Mimi kilanikileta maada zangu za laki mbili ,tatu,
Watu wananikejeli,
Isije kuwa nimevamia chaka la maboss Tu,
Wanaohitaji nyuzi zinazo husu bilioni kadhaa
Hahahah, sema hapo tatizo tunaanza na Mindset yake hiyo itabid airekebishe ukiingia kwenye chumba ambacho unaona you don’t belong basi at least act like you belong mzeeWewe ni masikini hata kwenye uandishi wako!!
Wote wanaishi Dar pia na hili usisahau
Humu hakuna asiyesoma tena wote level za juu, humu kila Mtu analipwa vizuri tena wengine wanaleta uzi wanataka kuacha kazi Mshahara mdogo Milioni 2 kwa Mwezi, humu hakuna anayeamini Uchawi sijui nyuma ya Pazia, humu hakuna asiyewahi kutembelea japo Nchi 5, humu hakuna Mtu ambaye kwa siku hatumii 50k kwenda mbele kwa siku..... kwa kua hatujuani shangaza umasikini na wewe!!!!
Mimi fukara nipo hapa tena dar hii hii
Lakini wengi wao huwaambii kitu kuhusu Dar wanaijua vizuri hata kama wanaishi MbeyaHii sio kweli mbona naona watu kibao wanasema wapo mbeya wengine dodoma n.k
Lakini wengi wao huwaambii kitu kuhusu Dar wanaijua vizuri hata kama wanaishi Mbeya