GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Nilichokiona Juzi Jumapili katika Nyumba Kubwa mbili zenye Kuwaunganisha wenye 'Dhambi' na aliye juu 'Mbinguni' hasa za Mwenge na Tanganyika Packers hakika sasa nimeamini ule Msemo wa Wahenga wetu usemao kuwa Siku zote Kikulacho kipo Nguoni mwako. Na Siku wale ndiyo huwa wanaenda 'Kukuumiza' mara nyingi sana ndiyo huwa wanajifanya Kukutia Moyo kila mara na 'Kukuvimbisha' Kichwa.
Najua wa Ubungo baada ya kama Wiki mbili hivi GENTAMYCINE 'Kumchana' hapa hapa kuwa pamoja na kwamba 'Poti' wake 'Kamuidhinisha' Kulipambania Jimbo la 'Kitajiri' na lenye 'Matapeli' wengi ambao 'Ng'ombe' huwa wana njia yao 'Maalum' huko kuwa ana 'Deni' kubwa na Waislamu na Wakatoliki ameshaanza Kuomba 'Po' kwa Waislamu na nasikia anataka 'Kuwaangukia' na TEC pia.
Ila leo hii napenda 'Kumsaidia' wa Ubungo kuwa kwa nilichokiona Siku ya Jumapili na niliyoyasikia leo hii ( Usiku huu huu ) kutoka kwa 'right hand Men' wa akina Mwenge na Tanganyika Packers sasa ni rasmi kuwa hawa ndiyo wanaenda 'Kumuhujumu' ili 'aanguke' kwani wote Wawili inasemekana huwa wanakutana katika 'Mkakati' wa 'Kummaliza' wa Ubungo kwa 'Gharama' zozote zile tu.
Na nilichoambiwa tu ni kwamba hawa wa Mwenge na Tanganyika Packers wanaogopa wa Ubungo akipita 'atawapunguzia' Watoa Sadaka na Dhaka.
Najua wa Ubungo baada ya kama Wiki mbili hivi GENTAMYCINE 'Kumchana' hapa hapa kuwa pamoja na kwamba 'Poti' wake 'Kamuidhinisha' Kulipambania Jimbo la 'Kitajiri' na lenye 'Matapeli' wengi ambao 'Ng'ombe' huwa wana njia yao 'Maalum' huko kuwa ana 'Deni' kubwa na Waislamu na Wakatoliki ameshaanza Kuomba 'Po' kwa Waislamu na nasikia anataka 'Kuwaangukia' na TEC pia.
Ila leo hii napenda 'Kumsaidia' wa Ubungo kuwa kwa nilichokiona Siku ya Jumapili na niliyoyasikia leo hii ( Usiku huu huu ) kutoka kwa 'right hand Men' wa akina Mwenge na Tanganyika Packers sasa ni rasmi kuwa hawa ndiyo wanaenda 'Kumuhujumu' ili 'aanguke' kwani wote Wawili inasemekana huwa wanakutana katika 'Mkakati' wa 'Kummaliza' wa Ubungo kwa 'Gharama' zozote zile tu.
Na nilichoambiwa tu ni kwamba hawa wa Mwenge na Tanganyika Packers wanaogopa wa Ubungo akipita 'atawapunguzia' Watoa Sadaka na Dhaka.