Huku Sirari Tarime, watu wengi wanaharisha naombeni Wizara ya Afya itoe tamko

Joyce joyce

JF-Expert Member
May 23, 2020
457
1,973
Wakuu, kuna watu wanaharisha Tanzania, mlipuko huu umeanza week iliyopita; unakuta nyumba nzima inaharisha, kijiji kizima kila mtu anakuambia kuwa anaharisha. Huku Sirari, Tarime kila mtu aliyoko huku ameharisha.

Naomba Wizara ya Afya itoe tamko na ufafanuzi juu ya hali hii.

Na kama wewe hujaharisha kipindi hiki mshukuru MUNGU wako.

Huko Dar tupeni update huu ugonjwa haujafika huko?
 
Changamoto
Ila Kuna Jamaa Yangu Aliharisha Mpaka Tukampeleka Hospital Ila Hana Tatizo
 
Mnachofanya hapa ni kuvunja sheria, mwenye mamlaka ya kutangaza mlipuko wa ugonjwa ni Wizara ya Afya. Mtasababisha na JF ifungiwe kama Clouds, ukifungua kila thread utakuta Tunaomba radhi kwa kukiuka kanuni, taratibu.
 
Suala la wizara kutoa tamko liko mikononi mwa watoa huduma nikiwa na maana ambao wana access mambo ya Epidemiology kama hawajatoa taarifa huwenda ni watu wamejilia uchafu bila kunawa mikono,
 
Wakuu, kuna watu wanaharisha Tanzania, mlipuko huu umeanza week iliyopita; unakuta nyumba nzima inaharisha, kijiji kizima kila mtu anakuambia kuwa anaharisha. Huku Sirari, Tarime kila mtu aliyoko huku ameharisha.

Naomba Wizara ya Afya itoe tamko na ufafanuzi juu ya hali hii.

Na kama wewe hujaharisha kipindi hiki mshukuru MUNGU wako.

Huko Dar tupeni update huu ugonjwa haujafika huko?
Tatizo nyie wajuaji kila mnaloambiwa hamtaji, naweni mikono na sabuni na maji tiririka basi
 
Hao wanakunya sana porini hawana vyoo hata wakiwa navyo wanachambia kokoto.. so what you expect
 
Wakuu, kuna watu wanaharisha Tanzania, mlipuko huu umeanza week iliyopita; unakuta nyumba nzima inaharisha, kijiji kizima kila mtu anakuambia kuwa anaharisha. Huku Sirari, Tarime kila mtu aliyoko huku ameharisha.

Naomba Wizara ya Afya itoe tamko na ufafanuzi juu ya hali hii.

Na kama wewe hujaharisha kipindi hiki mshukuru MUNGU wako.

Huko Dar tupeni update huu ugonjwa haujafika huko?
Maji mnayokuwa mnachemsha usikute kuna chizi fresh keshapiga cha mara kenda fanya mambo kwenye kisima cha kijiji mambo hayoo
 
Back
Top Bottom