Juzi kati nilileta uzi huku kuwa kuna mlipuko huo ila kwa sasa hapa nilipo umeisha nikapingwa sana sasa umehamia kwenu. Poleni sanaWakuu, kuna watu wanaharisha Tanzania, mlipuko huu umeanza week iliyopita; unakuta nyumba nzima inaharisha, kijiji kizima kila mtu anakuambia kuwa anaharisha. Huku Sirari, Tarime kila mtu aliyoko huku ameharisha.
Naomba Wizara ya Afya itoe tamko na ufafanuzi juu ya hali hii.
Na kama wewe hujaharisha kipindi hiki mshukuru MUNGU wako.
Huko Dar tupeni update huu ugonjwa haujafika huko?
Wakuu, kuna watu wanaharisha Tanzania, mlipuko huu umeanza week iliyopita; unakuta nyumba nzima inaharisha, kijiji kizima kila mtu anakuambia kuwa anaharisha. Huku Sirari, Tarime kila mtu aliyoko huku ameharisha.
Naomba Wizara ya Afya itoe tamko na ufafanuzi juu ya hali hii.
Na kama wewe hujaharisha kipindi hiki mshukuru MUNGU wako.
Huko Dar tupeni update huu ugonjwa haujafika huko?
ooh wabayaKuna kipindi Arusha mtu aliunganisha bomba la. Maji taka (mavi) kwenye mfumo wa maji safi aisee pale mjini watu waliharisha si mchezo, ile taarifa ilifunikwa kijasusi