much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,501
- 10,260
Acha upoyoyo Sisi hatukuzuia sukari kutoka Zanzibar ila tulizuia sukari kutoka uarabuni na Brazil inayoingia kupitia mlango wa ZanzibarMambo mengi tu, yaani kwa kifupi huu muungano ni jina tu na chochote chaweza kutokea tukauvunja.
Kumbuka Tanzania juzi ilikua inawazingua Waganda kwenye sukari yao. Hiyo hiyo Tanzania iliwabania Wazanzibari kwa hilo hilo la sukari.
Sent using Jamii Forums mobile app