Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,210
- 12,913
Mh Rais Samia hichi ulichotuletea cha ada ya ya kizalendo hatuitaki.
Huku ni kuwaumiza wananchi wenye uchumi wa chini maana ndiyo watumiaji wakubwa wa hizi huduma ulizotuongezea! Mwenzio alipambana na matajiri ili wananchi wenye hali tete tupumue lakini wewe unakuja kutubana sisi ili wao wapumue?
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Serikali iliyofail inapambana na wananchi wa hali chini inalinda matajiri waneemeke zaidi sasa naona nawewe umeenza kufail tena mapema sana.
Sasa hatutapeleka hela zetu bank wala kuweka kwenye mitandao! Tutakaanazo ndani.
Huku ni kuwaumiza wananchi wenye uchumi wa chini maana ndiyo watumiaji wakubwa wa hizi huduma ulizotuongezea! Mwenzio alipambana na matajiri ili wananchi wenye hali tete tupumue lakini wewe unakuja kutubana sisi ili wao wapumue?
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Serikali iliyofail inapambana na wananchi wa hali chini inalinda matajiri waneemeke zaidi sasa naona nawewe umeenza kufail tena mapema sana.
Sasa hatutapeleka hela zetu bank wala kuweka kwenye mitandao! Tutakaanazo ndani.