Uchaguzi 2020 Huku ni kupuuza vilio na malalamiko ya watanzania. Nini anataka huyu mgombea urais wa CCM?

CCM imechokwa Hadi vijijini, shangazi zangu huko Mtwara hawataki hata kuisikia, hawajalipwa fedha za korosho zao na msimu mpya unaanza. Ndege zinawasaidia nini.
Shangazi zako hawakipigwa kama mkuu alivyoahidi?
 
mzunguko wa pesa una indicators zake wacha pumba, haimaanishi eti kisa wanaouza maduka wamekosa wateja basi mzunguko uko vibaya, kufilisika kupo hata ukiwa kwenye uchumi mkubwa duniani, kama mm mwananchi wa kawaida naweza kusema mzunguko upo vizuri then probably it is, wewe kushindwa kuendesha biashara sio utusumbue uchumi, as long watu wengine wanafanya biashara zao na wanapata pesa za kujikimu ndo uchumi wenyewe sasa huu:

infact TSH ndo pesa iliosmama na USD mwaka mzima bila kuterereka afrika nzima
Wastaafu wenyewe mnashindwa kuwalipa halafu mnajisemesha eti tuna mapesa mengi sana sisi.Hovyoo
 
Huku ndo kukurupuka anakosema mleta mada, Wewe huo mzunguko mzuri wa fedha unakupitia wewe na ndugu zako mliojishikiza Ikulu unadhani hali iko hivyo kwa kila mtu?
acha ufalla kafanye kazi.

kama biashara haziendi unaishije hapo ulipo, au wewe ni mwajiriwa!!!
 
mzunguko wa pesa una indicators zake wacha pumba, haimaanishi eti kisa wanaouza maduka wamekosa wateja basi mzunguko uko vibaya, kufilisika kupo hata ukiwa kwenye uchumi mkubwa duniani, kama mm mwananchi wa kawaida naweza kusema mzunguko upo vizuri then probably it is, wewe kushindwa kuendesha biashara sio utusumbue uchumi, as long watu wengine wanafanya biashara zao na wanapata pesa za kujikimu ndo uchumi wenyewe sasa huu:

infact TSH ndo pesa iliosmama na USD mwaka mzima bila kuterereka afrika nzima
maduka gani yamekosa wateja, kkoo nakwenda kila siku ndio kwanza watu wamejaa mpaka usalama uko mashakani.

huku mtaani watu wanajenga fremu kila siku na zinapata wapangaji, boda boda zinabeba watu kila siku mbali na kwamba zinaongezeka kununuliwa.

anakuja mbuzi kuandika mapovu humu, kisa tu ana ndoto za bwana ake kwenda ikulu.
 
Hakuna awamu watu wameuwawa Kama hii. Mnalijua hilo na linawaumiza Sana, mambo ya hovyo na yakuchekesha mengi yamepatikana awamu hii.
Kivuli chenu kikuu Cha kujifichia ni
--uzalendo
--uchochezi
--ubeberu
--tunamtaka dereva wa Lissu
Uzalendo huo mmeuanza awamu hii? Madudu na maovu yapo awamu hii ya utawala wa washamba(Nape alisema)

dhambi ya usaliti ni mauti sasa unachoshangaa ni nn apo! he was supposed to be dead by now, YUda anaweza kukuelezea vizuri, ukiachana na uongo wenu mnaosambaza, ushawahi kuona wap duniani mtu anaenda kuwakilisha wananchi bungeni alafu anafukuzwa uanachama?
 
Hakuna awamu watu wameuwawa Kama hii. Mnalijua hilo na linawaumiza Sana, mambo ya hovyo na yakuchekesha mengi yamepatikana awamu hii.
Kivuli chenu kikuu Cha kujifichia ni
--uzalendo
--uchochezi
--ubeberu
--tunamtaka dereva wa Lissu
Uzalendo huo mmeuanza awamu hii? Madudu na maovu yapo awamu hii ya utawala wa washamba(Nape alisema)
umezaliwa 2015 wewe eh??
 
Wapo wengi tu.
Mm ni mwajiriwa nawajua wengi sana. Alafu watu wanateseka sana, acheni porojo mnajiongezea dhambi tu.

mkikosa hoja mkalale tu, hao watu mnaowaongelea ni wakina nan, mbna sasa mpaka mnakoswa na mawe kwenye mikutano, hao ni nan mnaowatetea mpaka wanataka kuwaua
 
Kwa comment hii, ngoja niamke nijiandae kwenda Church. Mungu akusamehe.

wewe usilazimishe mada za unafki, kifupi mkatieni tiketi arudi kwao belgium, wananchi wanataka kumpiga na mawe, wasiojulikana wanamsubiri kwa ham sasa anafanya nn apa aondoke tu
 
hakuna mstaafu aliebaki na malalamiko hajalipwa, leten uongo mwingine
Hahah we hujui kitu endelea kuimba tu iyena iyena,nenda hapo dar kwny office za mifuko ya jamii ujionee maajabu tena siku hizi wastaafu wamepigwa marufuku kufika kwny ofisi hizo eti madai yako yanashughulikiwa,yote hayo ili tu wastaafu wasijae pale ofisini na pakaonekana mnadaiwa.
 
Hahah we hujui kitu endelea kuimba tu iyena iyena,nenda hapo dar kwny office za mifuko ya jamii ujionee maajabu tena siku hizi wastaafu wamepigwa marufuku kufika kwny ofisi hizo eti madai yako yanashughulikiwa,yote hayo ili tu wastaafu wasijae pale ofisini na pakaonekana mnadaiwa.

sasa si kila mwaka watu wanastaafu aisee, kama ni yale ya kipindi kile hakuna ambae hajalipwa mpaka leo, ivi mbna vyama vingine havina vurugu kama nyie mbna wengine page zao zko safi kabisa sera nzuri hawana maneno mengi nyie mna tatizo gan
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
 
sasa si kila mwaka watu wanastaafu aisee, kama ni yale ya kipindi kile hakuna ambae hajalipwa mpaka leo, ivi mbna vyama vingine havina vurugu kama nyie mbna wengine page zao zko safi kabisa sera nzuri hawana maneno mengi nyie mna tatizo gan

Hahah hamna hela nyie,maneno meeeeengi.

Lipeni pesa kwa wastaafu.
 
Kasema atawajengea uwanja wa mpira mwingine. Yaani yeye shida na matatiO lukuki ndani ya mkoa wa Dodoma hazioni. Ni mnafiki fulani hivi yuko nyuma na neno Uzalendo.
Watanzania wanataka ;-
  • Hali bora za maisha.
  • Ajira
  • Biashara zao zifufuke na kukua
  • Mzunguko wa fedha uwe mzuri
  • Uhuru na haki vitamalaki.

Sasa huyu mgombea pamoja na kwamba watanzania wanapiga kelele kuwa madege aliyo yanunua kwa fedha taslimu yanatufilisi na hayafanyi biashara yoyote bado anaendelea kutoa ahadi ya kuyaongeza endapo atachaguliwa tena. (Hapa chini ni ahadi yake ktk uzinduzi wa kampeni-CCM kule Dodoma 29/8/2020)

View attachment 1552612
Madege yamegeuka kuwa sehemu ya uvccm kufanyia selfie na group photoshoot.
View attachment 1552610

Tunapaswa kumchagua Rais ambaye atakuwa msikivu. Siyo mjivuni, mwenye kiburi, mwenye kutupuuza, mwenye kukanyaga haki za kikatiba na kiraia.

Tusimchague mtu ambaye yuko tayari kuona watu wanapoteza maisha kwasababu ya vitu.

Maisha Kwanza Vitu Baadaye.
 
Back
Top Bottom