Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?
unajua hawa watu ni waajabu sana, atajidai ameolewa au ana boyfriend ili uweze kumtongoza, maana anajua akikuambia kuwa anamtu, hivyo hutomuona kicheche utamchukulia kama ni mtu anayejiheshimu kwa kuwa ana jamaa, tofauti na akiwa alone.
Mwanamke wa maana ni yupi na hasiyekuwa wa maaana ni yupi? Nifahamishwe wajameniMwanamke yeyote wa maana hawezi kukuchukulia serious kama wewe mwenyewe hauonyeshi kuheshimu relationship status za wengine.
Mwanamke wa maana ni yupi na hasiyekuwa wa maaana ni yupi? Nifahamishwe wajameni
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?
Nimekupata sasa Mhe.Mfano, aliyeolewa lakini bado ana entertain advances za wanaume wengine zaidi ya mumewe. Aliyeko kwenye uhusiano lakini bado ana flirt na wanaume wengine. Aliye na wanaume kadhaa kwa wakati mmoja. Anayebadilisha wanaume kama chupi. Asiyejali kama mwanamme ana mke au la.....unataka zaidi?
Nimekupata sasa Mhe.
Kwa maana hiyo kuna wanaume pia wasiokuwa wa maana ambao wana tabia sawa sawa na ulizozitaja hapa? Au kuna exceptional kwa wanaume?
Mkuu 999,
Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."
She: "Asha
999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."
999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."
She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"
999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."
Na hapo ndipo utaambiwa
She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."[/QUOTE]
ahahahahahha....mmmmm sasa msiambiwe jamani?? kama mtu ana-m-mind BF wake asiseme? mie nikikwambia nin BF is a polite way of telling u I dont fancy your advances kama ukiwa ushaonyesha dalili!!!!
Mkuu 999,
Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."
She: "Asha
999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."
999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."
She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"
999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."
Na hapo ndipo utaambiwa
She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."
Mkuu 999,
Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."
She: "Asha
999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."
999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."
She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"
999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."
Na hapo ndipo utaambiwa
She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."[/QUOTE]
ahahahahahha....mmmmm sasa msiambiwe jamani?? kama mtu ana-m-mind BF wake asiseme? mie nikikwambia nin BF is a polite way of telling u I dont fancy your advances kama ukiwa ushaonyesha dalili!!!!
MI NINGEENDELEA HIVI....
AHH MBONA HUONYESHI KAMA UN BF??
YAANI HUONYESHI KABISA KAMA UNA MTU ANAYEKUJALI....