Huku ni kujihami au??!!

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?
 
Ni katika harakati za kukutega zaidi ili wajue msimamo wako, kama ni mtu wa kukata tamaa basi hutamfuata tena. Nadhani hii ndiyo gia ya mademu wengi kujua ipi pumba upi mchele miongoni mwetu wanaume...

We akikwambia kuwa ana boyfriend we mwambie una Girlfriend, hapo inakuwa ngoma droo na mnaanza kutegana kiutu uzima sasa.
 
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?

...inategemeana na wewe umelichukuliaje.

Kama unavutiwa na mali za watu lazima utapandisha stimu,... kama una roho ndogo kama yangu, ni kukusanya majamvi na kujiandaa kuhesabu boriti!

Ila kwa uzoefu wangu, mara nyingi mrembo anayekimbilia kuropokwa hivyo, au yule anayeweka mbele mbele kidole cha pete,...anakutega!
 
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?

Hicho ni kimbelembele na kiherehere tu. Maongezi yalikuwa hayaelekei huko sasa out of nowhere analeta habari za boyfriend wake. What the hell? Umeulizwa? Unless you tell me there was some sort of a segway leading there otherwise it's just foolish.
 
unajua hawa watu ni waajabu sana, atajidai ameolewa au ana boyfriend ili uweze kumtongoza, maana anajua akikuambia kuwa anamtu, hivyo hutomuona kicheche utamchukulia kama ni mtu anayejiheshimu kwa kuwa ana jamaa, tofauti na akiwa alone. tena siku umezuka mtindo wa kuvaa pete za ndoa ilhali hana hata mume zaidi ya kuiba wa watu. Mfano kuna mama mmoja ana watoto 2 yeye hajaolewa ila ana pete ya uchumba na ya ndoa, lakini kumbe hajaolewa ana iba tu waume za watu.

sasa mathalani akikimbilia mimi ni boyfriend au mume jua kuwa usimuone kicheche, lakini ukweli ni kwamba hakuna lolote anasubiri gia yako au sitaki nataka
 
unajua hawa watu ni waajabu sana, atajidai ameolewa au ana boyfriend ili uweze kumtongoza, maana anajua akikuambia kuwa anamtu, hivyo hutomuona kicheche utamchukulia kama ni mtu anayejiheshimu kwa kuwa ana jamaa, tofauti na akiwa alone.

Uumm...sikubaliani nawe hapo. Huoni kwamba akikuambia ana mtu utamwacha alone? Huoni kwamba akikwambia ana mume au boyfriend na wewe ukaendelea kumtongoza atakuona wewe ndiye kicheche usiye na maadili wala kuheshimu status za watu?

Sasa atakukubaliaje wewe wakati umeonyesha kuwa huheshimu hata kidogo kuwa yeye kaolewa au yuko kwenye uhusiano?

Mwanamke yeyote wa maana hawezi kukuchukulia serious kama wewe mwenyewe hauonyeshi kuheshimu relationship status za wengine.
 
Mwanamke yeyote wa maana hawezi kukuchukulia serious kama wewe mwenyewe hauonyeshi kuheshimu relationship status za wengine.
Mwanamke wa maana ni yupi na hasiyekuwa wa maaana ni yupi? Nifahamishwe wajameni
 
Mwanamke wa maana ni yupi na hasiyekuwa wa maaana ni yupi? Nifahamishwe wajameni

Mfano, aliyeolewa lakini bado ana entertain advances za wanaume wengine zaidi ya mumewe. Aliyeko kwenye uhusiano lakini bado ana flirt na wanaume wengine. Aliye na wanaume kadhaa kwa wakati mmoja. Anayebadilisha wanaume kama chupi. Asiyejali kama mwanamme ana mke au la.....unataka zaidi?
 
Unakutana na mwanamke tuseme safarini ama chuo. Ktk mazungumzo ya kawaida anaanzakuchomekea anajamaa (boyfriend). Wala mazungumzo yenu hayakua yakielekea huko. Je huku ni kujihami usije ukachomekea au inakuaje?

Mkuu 999,

Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."

She: "Asha

999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."

999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."

She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"

999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."

Na hapo ndipo utaambiwa

She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."
 
Mfano, aliyeolewa lakini bado ana entertain advances za wanaume wengine zaidi ya mumewe. Aliyeko kwenye uhusiano lakini bado ana flirt na wanaume wengine. Aliye na wanaume kadhaa kwa wakati mmoja. Anayebadilisha wanaume kama chupi. Asiyejali kama mwanamme ana mke au la.....unataka zaidi?
Nimekupata sasa Mhe.
Kwa maana hiyo kuna wanaume pia wasiokuwa wa maana ambao wana tabia sawa sawa na ulizozitaja hapa? Au kuna exceptional kwa wanaume?
 
Nimekupata sasa Mhe.
Kwa maana hiyo kuna wanaume pia wasiokuwa wa maana ambao wana tabia sawa sawa na ulizozitaja hapa? Au kuna exceptional kwa wanaume?

Ina apply kwa wote hata na ma hermaphrodites
 
Mkuu 999,

Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."

She: "Asha

999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."

999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."

She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"

999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."

Na hapo ndipo utaambiwa

She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."[/QUOTE]

ahahahahahha....mmmmm sasa msiambiwe jamani?? kama mtu ana-m-mind BF wake asiseme? mie nikikwambia nin BF is a polite way of telling u I dont fancy your advances kama ukiwa ushaonyesha dalili!!!!
 
Mkuu 999,

Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."

She: "Asha

999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."

999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."

She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"

999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."

Na hapo ndipo utaambiwa

She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."

Hapa umekaza mwana!
 
999: Na mimi nina girlfriend anaishi xyz anasoma abc ndio naenda kumpa hi!

ucheki itakavomfanya mpoleeeeee!
 
Mkuu 999,

Mazungumzo ya kawaida ni yapi unayokuwa nayo na mwanamke uliyekutana naye safarini au chuo?
= = = = =
999: "Dada Samahani unaitwa nani..."

She: "Asha

999: "Nashukuru kukufahamu mimi naitwa 999... mwenyeji wa JF...."

999: "Unasafiri kuelekea wapi (safarini), unafanya kazi/umemaliza shule wapi(chuoni).."

She: "Mbeya.... Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mbarari/Malangali High School"

999: "blah blah blah (Nimesoma xyz, nilikuwa naishi abc...."

Na hapo ndipo utaambiwa

She: "nashukuru kusikia hivyo, na miye nina boyfriend, amesoma xyz na anaishi abc..."[/QUOTE]

ahahahahahha....mmmmm sasa msiambiwe jamani?? kama mtu ana-m-mind BF wake asiseme? mie nikikwambia nin BF is a polite way of telling u I dont fancy your advances kama ukiwa ushaonyesha dalili!!!!

MI NINGEENDELEA HIVI....
AHH MBONA HUONYESHI KAMA UN BF??
YAANI HUONYESHI KABISA KAMA UNA MTU ANAYEKUJALI....
 
Back
Top Bottom