Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Huko ndiko CCM imetufikisha kama taifa. TBC chombo kikubwa cha UMMA kinatumika kuwatukana Watanzania wanaopinga utawala wa kibabe usiozingatia sheria wala Katiba.
Badala yake TBC chombo kinachowafikia wananchi walio wengi kinatumika kusifia uvunjaji wa wazi wa kanuni na sheria tulizojiwekea na kuwatukana wapinzani.
Kwa hakika inashangaza, inasikitisha, inaudhi na inakasirisha.
Badala yake TBC chombo kinachowafikia wananchi walio wengi kinatumika kusifia uvunjaji wa wazi wa kanuni na sheria tulizojiwekea na kuwatukana wapinzani.
Kwa hakika inashangaza, inasikitisha, inaudhi na inakasirisha.