Huku mwanza majina ya watu walioomba ukarani wa sensa bado hayajabandikwa

Mwigamba son

Member
Jan 11, 2012
27
6
kwa mujibu wa tangazo la nbs mwisho wa kuwasilisha fomu za maombi ya kazi ya muda ya sensa ilikuwa ni tarehe 25/7/2012 kali ya mwaka ni pale nilipofika ofisi ya jiji mwanza na kukuta tangazo lililopambwa kwa nembo ya sensa 2012 likiwa limeambatana na tangazo lifuatalo '' kwa wale walioomba kazi ya ukarani wa sensa mwisho wa maombi ilikuwa ni tarehe 24/7/2012 tunaomba radhi kwa usumbufu''. kutokana na tangazo lao hilo lililokinyume na tarehe elekezi ya nbs mwanza wamekiuka utaratibu na kuwanyima fursa wale waliopeleka maombi yao tar 25/7/2012. Na mpaka sasa japo zoezi la mafunzo ya sensa litaanza jumatatu tar 6/8/2012 hapa mwanza majina hayajabandikwa huenda watu wa jiji wamekwisha wapa watoto wao kazi hizo maana ikiwa siku zimekwisha usaili utafanyika lini?
 
Tarehe 6 mbona huku dar ndo 2meambiwa 2fate majibu tarehe 6 ya usaili! So semina might b tarehe 7.
 
No semina inaweza kuwa next monday coz sisi huku tumeambiwa majibu mpaka j4 wanangoja nanenane ipite ndo zoez lianze
Tarehe 6 mbona huku dar ndo 2meambiwa 2fate majibu tarehe 6 ya usaili! So semina might b tarehe 7.
 
Zitakuwa hujuma zakijinga kwa kuwa jiji la mwanza linaongozwa na CDM basi mtegemee mambo hayo kutokea!!
 
Huku Manyara ndo usiombe ni kimya hamna chochote kabisaa,. Kwani wanalipa Sh ngapi/day wakati wa semina? Sh ngapi wakati wa zoezi lenyeweee na jumla mtu anaweza toka na ngapii?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom