Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Ama kweli dunia ina maajabu.!
Gazeti la Mwananchi limereport leo kuwa wakati msiba ukiendelea ,watu wasiojulikana wameingia kwenye jumba la kifahari la marehemu Mengi na kuiba vito vya thamani vya dhahabu na almasi!!
Moshi ni wezi hadi kwenye msiba? hamuogopi laana ya marehemu?
Kwa kweli Moshi mnajua kutumia kila aina ya fursa!!
Gazeti la Mwananchi limereport leo kuwa wakati msiba ukiendelea ,watu wasiojulikana wameingia kwenye jumba la kifahari la marehemu Mengi na kuiba vito vya thamani vya dhahabu na almasi!!
Moshi ni wezi hadi kwenye msiba? hamuogopi laana ya marehemu?
Kwa kweli Moshi mnajua kutumia kila aina ya fursa!!