Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Sasa Nini maana ya elimu? Kwahyo watu waendelee kufanya FGM, kurithi wake, kukandamiza wanawake kwasababu ya Mila Za mababu??Hatuwezi acha Mila zetu na mababu anayedharau Mila za kwao ana matatizo ya akili na mental slavery.
Hao mababu hata kusoma Na kuandika hawakujua Na waliamini miti Ni Mungu inayostahili matambiko.
Nyie mmesoma ila hamjaelimika