kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Huu mji kumbe una watu balaa leo ni December 21 kumejaa hivi jee ikifika December 24 hali itakuaje?
Wachaga shikamooni
Mimi ndugu yenu nilitangulia humu, tokea juzi nilikuja kuandaa mazingira kabisa, nimetulia hapa Machame hapa ndo nyumbani napata vitu viwili vitatu nimepanga nitakaa hapa hadi January huko
Nyumbani ni nyumbani....
Naombeni mzidi kumiminika pandeni hata tren.....".Oshen ken mbon ni"...."lurishe mburu, lurishe ng'umbe, lurishe nguku"...."
Nawasalimia kwa jina la huku
Wachaga shikamooni
Mimi ndugu yenu nilitangulia humu, tokea juzi nilikuja kuandaa mazingira kabisa, nimetulia hapa Machame hapa ndo nyumbani napata vitu viwili vitatu nimepanga nitakaa hapa hadi January huko
Nyumbani ni nyumbani....
Naombeni mzidi kumiminika pandeni hata tren.....".Oshen ken mbon ni"...."lurishe mburu, lurishe ng'umbe, lurishe nguku"...."
Nawasalimia kwa jina la huku