Huku kwetu mambo yameiva!!

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,900
95,395
 

Attachments

  • FB_IMG_14826665064312735.jpg
    FB_IMG_14826665064312735.jpg
    68.9 KB · Views: 88
ONYO:
Kuna mtindo utaanza kujitokeza muda si mrefu kwa baadhi ya wenzetu kuanza kutuma picha zinazoonesha aina ya chakula wanachokula huko home kwao. Tafaddhali msifanye hivyo maana wengine Christmas imetuijia vibaya. Pesa haionekani kama kaburi la faru John.
Naomba tuvumiliane katika hili maana shibe yako isije geuka kuwa kero kwa wengine.
 
Back
Top Bottom