bahaticaro
Senior Member
- Jul 20, 2012
- 100
- 31
Jamn mim nashindwa kuelewa sijui mim ni mshamba au ni mgumu kuelewa sana...mpenz yupo buzy kuliko kawaida yaan no kuwasiliana nikijidai kijipigisha simu naambiwa am yours baby what else do i need nachok je jamn iv wapenz ndy wanatakiwa kuishi hv kwel embu naomb mnijuz pleeez