Huko x wanabishana kama hii nyumba kweli imegharimu 24,750,000/= hadi finishing

Huko x wanabishana kama hii nyumba kweli imegharimu 24,750,000/= hadi finishing

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
2,250
Reaction score
5,061
20260612_114230.jpg

Vyumba vitatu, kimoja master.
 
Kuna vitu vingi vina zingatiwa kujua gharama za ujenzi;
  1. Mahali unapojenga (mjini/vijijini) kijijini fundi unampata kwa nusu ya bei .
  2. upatikanaji wa material za bei poa (mchanga, mawe, mbao)
  3. matofali ya size ndogo (5inch/malaini/mepesi)
  4. material za madirisha mlango za bei poa (bomba laini, frame nyepesi nk nk)
  5. Maji ya bei poa (mtoni/hayana meter) nknk
Hivyo kabla hujabishania bei ya nyumba lazima uzingatie hivyo....
Kwa maana hiyo, inaweza kuwa ni bei sawa kabisa ila kwa muktadha huo.
 
Kajengea za bloku au za choma?
Na ukubwa wa vyumba upoje?
All in all inawezekana kabisa, anayebisha ni mtu ambaye hajawahi kujenga, na kama kajenga basi alikuwa anasimamiwa kwa kila kitu. Na kama ni fundi anabisha basi huyo ni fundi mwizi mwizi.
 
Back
Top Bottom