Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Unaweza ukashangaa hiyo heading lakini kwa hatua waliofikia hawa wenzetu kwao kila kitu kinawezekana.
Wanaweza hata kuficha barua za wanachama wao kujiuzulu na kusema hawajakabidhiwa barua hizo.
Wanaweza kwenda mahakamani kupinga chaguzi za marudio kwa hoja waliojiuzulu uanachama hawajafuata taratibu.
Hawa jamaa hivi sasa ni kama akili zimehama au zimeenda likizo na kwakweli tutarajie vituko visyo na mwisho.
Nimegundua kumbe si binadamu tu ambae akizeeka anarudi utotoni, kumbe hata vyama fulani!!
Sasa sijiu tutafika tunakokwenda kwakweli napata wasiwasi maana huu uze wa vyama vingine unakuja vibaya kupita maelezo!!
Ama kweli uzee ni shida!
Wanaweza hata kuficha barua za wanachama wao kujiuzulu na kusema hawajakabidhiwa barua hizo.
Wanaweza kwenda mahakamani kupinga chaguzi za marudio kwa hoja waliojiuzulu uanachama hawajafuata taratibu.
Hawa jamaa hivi sasa ni kama akili zimehama au zimeenda likizo na kwakweli tutarajie vituko visyo na mwisho.
Nimegundua kumbe si binadamu tu ambae akizeeka anarudi utotoni, kumbe hata vyama fulani!!
Sasa sijiu tutafika tunakokwenda kwakweli napata wasiwasi maana huu uze wa vyama vingine unakuja vibaya kupita maelezo!!
Ama kweli uzee ni shida!