Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Watu walipitisha kanuni mpya kimya wagombea wanakuja kujikuta baadhi vigezo hawana
Lakini si tumeshakubaliana kuwa Zanzibar ni koloni la Tanganyika?Katiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?
Kuna Spika au Naibu spika aliyewahi kutokea Zanzibar?
Huko TFF Ally Saleh ameliamsha, analalamika TFF inambagua katika mchakato wa kumpata Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania
Nani anataka umoja na usawa na nyie?Watanganyika haya Mumeyataka wenyewe sasa yaanaanza kukushindeni, Inapokuja suala la kwenye maslahi kwenu munasema Zanzibar haimo. Inapo kuwa maslahi kwa Zanzibar tuu ndiyo inanufaika Munadai na nyiyi mumo ni suala la Pamoja.
Nyie vipi nyie Watanganyika?
Si munataka Umoja nyie na Usawa.
Ngojeni basi tuwafunze Umoja nausawa.
Si munadai kuwa sisi ni Ndugu moja, inakuwaje sasa?
Nisaidie nizione hizo hoja.Ikisikiliza kwa makini kabisa hoja za Ally Saleh zina mashiko.
Hapo ktk ukabila umefeli kbsaU rais wamepata mara 2... umakamu wa rais ni wanapata kila awamu,,,,huku makabila kibao hayajawai kugusa ikulu wala umakamu. ila uspika tu wanaona wanaonewa
Kwann hamtaki kuwaruhusu kuwa wanachama wa caf kama ndio hvyo?Aende zenji wana chama chao huko
TFF haijawahi kuizuia ZFA kuwa mwanachama wa CAF au FIFA, kwanza haina ubavu huo, infact, maombi ya ZFA kuhusu uanachama wa CAF au FIFA hayahitaji udhamini wowote wa TFF. Ni wenyewe tu wanyooshe makongolo yao waende wakagonge milango ya CAF au FIFA, watapokelewa na kusikilizwa shida zao.Kwann hamtaki kuwaruhusu kuwa wanachama wa caf kama ndio hvyo?