Kuwepo mume wakati mke akijifungua wala haikatazwi, hata hospitali kubwa binafsi nchi hii hii wanaruhusu.Vip kwenye surgery napo mme anakuwepo?
Kwenye swala kama la kujifungua ni vizur na mme akaruhusiwa kuwepo ili kumtia moyo mwenzake
Hapo ndipo tunapo failTatizo Tanzania Labour ni ukumbi ( Hall ), kwahiyo ukiruhusiwa kuingia utaona uchi wanawake wengine ambao hawakuhusu.
Ukishuhudia mkeo anajifungua na kama unampenda kwa dhati hutataka kuzaa tena. Utakacho kiona ni kama dawa ya panga uzazi. Kma umechoka kuzaa nenda kashuhudie.Vip kwenye surgery napo mme anakuwepo?
Kwenye swala kama la kujifungua ni vizur na mme akaruhusiwa kuwepo ili kumtia moyo mwenzake
Hizo ndio alama za umasikini. Sidhani kama ukiwa na uwezo utajenga wodi za hivyo.Hapo ndipo tunapo fail
Dini ikizidi uwezo/ inakufanya mtumwa
Uko hawana madaktari wengi wanawake. Kwanza wengineo wanapinga mwanamke kusoma hasa ngazi za juu kama udaktari. Malala Yousafzai ni dogo wa kike alikuwa anasoma akapigwa risasi na wenye msimamo mkali kwamba wanawake wasisomeshwe.Mara nyingi wanaomba daktari wa kike kama mgonjwa ni wa kike.
Labda unaongelea Afghanistan lakini Pakistan Ina madaktari wengi sana wakike na wakiume. Wanapata ajira mpaka Ulaya na Arabuni.Uko hawana madaktari wengi wanawake. Kwanza wengineo wanapinga mwanamke kusoma hasa ngazi za juu kama udaktari. Malala Yousafzai ni dogo wa kike alikuwa anasoma akapigwa risasi na wenye msimamo mkali kwamba wanawake wasisomeshwe.
Hapo ukisubiri mwanamke ndio atibu unasubiri kifo
ni wivu wa kishamba sana huu, daktari anaziona izo mbututu kila siku hadi zinakinai, anazishika, piga madole fanya chochote wakati wa kutibia, cha mkeo ndio kitakuwa special sana? mwanamke akienda hospitali usifikie hayo. ukitaka kujua hilo nenda leba ukaone watu walivyochanganyikiwa na uchungu yuko tayari doctor afanye chochote ili mtoto atoke.Mara nyingi wanaomba daktari wa kike kama mgonjwa ni wa kike.
Pakistan na Afghanistan ni sawa tu na ndugu zao wa Somalia, dini imewafunga akili sana na ndiyo maana hawaendelei kiakili. Mwanamme anampima mkewe kwa kisingizio cha kumlinda ila utashangaa nchi hizi ndizo zinaongoza kwa ubakaji na kufilana duniani.
Dini imeharibu sana hii nchi kiasi kwamba mpaka na wananchi wamekuwa useless kimaisha. Jamaa anamlinda mkewe asiguswe, atatoka hapo atakwenda kubaka au kufila mtoto mdogo madrasat.
Acha roho ndogo mkuu kinachokuogopesha ni jinsi mbususu inavyofumuka baada ya kutoa kichanga au jinsi wanavyofanya manual removal ya placenta?Ukishuhudia mkeo anajifungua na kama unampenda kwa dhati hutataka kuzaa tena. Utakacho kiona ni kama dawa ya panga uzazi. Kma umechoka kuzaa nenda kashuhudie.
Hamna mbona wanawake wanaopata hizo tabu lakin bado watataka kuzaa tena? Yale ni mateso ya mda mfupi tuUkishuhudia mkeo anajifungua na kama unampenda kwa dhati hutataka kuzaa tena. Utakacho kiona ni kama dawa ya panga uzazi. Kma umechoka kuzaa nenda kashuhudie.