M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Wale wanaosafiri safiri kidogo ninaamini wananielewa.
Enzi za Mwalimu (RIP baba/babu yetu), huko ubeberuni huyu mzee ingawa walikuwa hawampendi kwa misimamo yake lakini walikuwa wakimwogopa na kumheshimu mno.
Why? Ni kwa vile alikuwa ana uwezo wa kuitetea misimamo yake scientifically (aka kisomi) na IQ yake ilikuwa ipo njema sana. Halafu ukichanganya na ile tabia yake ya kutokupenda ubinafsi (selflessness) ndiyo haswa ilimwongezea legitimacy zaidi ya kusimamia proudly yale aliyokuwa akiyapigania. Akaheshimika!
Sasa hivi tumekuwa nchi kituko. Hata Wamalawi na Wakomoro hapa jirani wanatuona ni kama ma-Zinjanthropus fulani hivi. Ni nyakati mbaya sana hizi za kutambulika kama raia wa Tanzania. Haijawahi tokea!
Enzi za Mwalimu (RIP baba/babu yetu), huko ubeberuni huyu mzee ingawa walikuwa hawampendi kwa misimamo yake lakini walikuwa wakimwogopa na kumheshimu mno.
Why? Ni kwa vile alikuwa ana uwezo wa kuitetea misimamo yake scientifically (aka kisomi) na IQ yake ilikuwa ipo njema sana. Halafu ukichanganya na ile tabia yake ya kutokupenda ubinafsi (selflessness) ndiyo haswa ilimwongezea legitimacy zaidi ya kusimamia proudly yale aliyokuwa akiyapigania. Akaheshimika!
Sasa hivi tumekuwa nchi kituko. Hata Wamalawi na Wakomoro hapa jirani wanatuona ni kama ma-Zinjanthropus fulani hivi. Ni nyakati mbaya sana hizi za kutambulika kama raia wa Tanzania. Haijawahi tokea!