kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,638
- 14,779
Nimeisikia BBC asubuhi.
Baada ya mbilikimo kuendelea kubaguliwa katika jamii, wameamua kuunda chama chao kitakachokuwa kinawasemea!
Hii imekaa vyema kwasababu hili ni kundi lililosahaulika na huwa wanaonekana kama waigizaji tu katika jamii!
Joseph Maina (mbilikimo) ambaye pia ni muasisi wa chama hicho, anasema yeye ana shahada ya IT lakini mara nyingi akienda kwenye interview huwa hathaminiwi.
Amka na BBC.
Baada ya mbilikimo kuendelea kubaguliwa katika jamii, wameamua kuunda chama chao kitakachokuwa kinawasemea!
Hii imekaa vyema kwasababu hili ni kundi lililosahaulika na huwa wanaonekana kama waigizaji tu katika jamii!
Joseph Maina (mbilikimo) ambaye pia ni muasisi wa chama hicho, anasema yeye ana shahada ya IT lakini mara nyingi akienda kwenye interview huwa hathaminiwi.
Amka na BBC.