KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Jamaa alisafiri kwa wiki 2,akawasahau mbwa wake kuwaachia mpishi.aliporudi kati ya mbwa 9 ,wawili walishaliwa na wenzao na aafuataye akawa yeye MWENYE MBWA..Ni eneo maarufu kwa spicy za panya pori,mbwa na popo