Africa tuna safari ndefu sana mithili ya safari ya kwenda Mars.
Ni hivi huko duniani kuwa Rais wa Taifa sio lelemama yani baba unapimwa uwezo wako yani utapigwa maswali wewe na wazee waliopiga kitabu wakatoka moshi kichwani.
Yani utafuwatiliwa maisha yako je unasoma vitabu? Unaijuwa nchi yako umetengeneza Bills ngapi zikaleta impact kwenye jamii?
Je unasoma mambo muhimu yakitaifa? Au wewe unapenda udaku.
Je, unasoma taarifa muhimu za siri na unaweza toa comment?
Your level of IQ hapa utakoma yani unatoa mada watu wanakuchambua mwanzo mwisho.
Jamaa wanaenda mbali sana nakuangalia uwezo wako wakusoma vitabu na kutunga vitabu yani hawana habari zetu za Africa hawa jamaa wapo serius na taasisi yao ya Urais.
Ndio maana Bill Clinton kamchepuko tu kangemuondoa ikulu.
Mke wake kosa dogo tu lakuto respond email za CIA na kuvuja kwa email nyeti kule Afghanistan na vifo vya yule agent wa cia ikawe Urais ameukosa. Yani ilikuwa bonge ya issue mpaka mama wa watu akawa mgonjwa.
Hakuna Taifa lenye nguvu dunian wanacheza na hii taasisi kwao hakuna kupokezana vijiti ila kuna kitu kinaitwa performance and integrity.
Unapo ona Baba na mtoto wamekuwa Rais kwa pamoja sio upendeleo ila performance na uzalendo kwa Taifa. Unaambiwa Bush Baba na Mtoto mmoja alikuwa CIA Director Baba na Mtoto Mrusha ndege zakivita na amepona vifo mara kadhaa kwa Taifa lake.
Africa kazi tunayo.
God have a Mercy on us.
Ni hivi huko duniani kuwa Rais wa Taifa sio lelemama yani baba unapimwa uwezo wako yani utapigwa maswali wewe na wazee waliopiga kitabu wakatoka moshi kichwani.
Yani utafuwatiliwa maisha yako je unasoma vitabu? Unaijuwa nchi yako umetengeneza Bills ngapi zikaleta impact kwenye jamii?
Je unasoma mambo muhimu yakitaifa? Au wewe unapenda udaku.
Je, unasoma taarifa muhimu za siri na unaweza toa comment?
Your level of IQ hapa utakoma yani unatoa mada watu wanakuchambua mwanzo mwisho.
Jamaa wanaenda mbali sana nakuangalia uwezo wako wakusoma vitabu na kutunga vitabu yani hawana habari zetu za Africa hawa jamaa wapo serius na taasisi yao ya Urais.
Ndio maana Bill Clinton kamchepuko tu kangemuondoa ikulu.
Mke wake kosa dogo tu lakuto respond email za CIA na kuvuja kwa email nyeti kule Afghanistan na vifo vya yule agent wa cia ikawe Urais ameukosa. Yani ilikuwa bonge ya issue mpaka mama wa watu akawa mgonjwa.
Hakuna Taifa lenye nguvu dunian wanacheza na hii taasisi kwao hakuna kupokezana vijiti ila kuna kitu kinaitwa performance and integrity.
Unapo ona Baba na mtoto wamekuwa Rais kwa pamoja sio upendeleo ila performance na uzalendo kwa Taifa. Unaambiwa Bush Baba na Mtoto mmoja alikuwa CIA Director Baba na Mtoto Mrusha ndege zakivita na amepona vifo mara kadhaa kwa Taifa lake.
Africa kazi tunayo.
God have a Mercy on us.