Hujuma za makusudi dhidi ya ATCL zisifumbiwe macho

sawa bwana meneja wa atcl mwanza.ila kauli zako kwa wateja rekebisha basi

Hana lolote huyo. Kama anadhani kuambiwa ukweli ndio upotoshaji mbona kila kampuni binafsi ina-invest ili kuambiwa makosa yao? Ungekuwa ni upotoshaji wangefanya anonymous surveys? Naanza kuamini kuwa nchi hii imelaaniwa. Angalau tunajitambua tuna nafasi ya kujikomboa tukitubu
 
Mkuu hukufanikiwa kupata jina la huyo meneja? Hii tabia itakoma kuanzia wiki ijayo mkuu,tafadhali endelea kutumia shirika letu
Kwani hamjui meneja aliyekuwepo huko? Au ni deiwaka kama naodha wa mv nyerere? Kamana nia ya kumpata anapatikana kirahisi tu wala hamna haja ya kuulizia jina lake hapa. Taarifa hii ipo clear.
 
Mbona mizigo kubaki ni kitu cha kawaida kwa usafiri wa Ndege.Bukoba Mwanza unalalamika.je Newyork to Dar ungezimia kabisa.Ndege ndogo ni kawaida Kuwa calculated ya abiria na mizigo ipate uzito unaotakiwa kuruka na kuwa stable hewani pia abiria hupangwa kukaa kwenye Siti kila upande kupata uwiano.umeambiwa mizigo imebaki kwa ajili ya usalama na ndiyo usalama huo
Kwa hiyo hata kuomba samahani kwa wateja waaiojua hili ni ngumu badala yake unakuwa mkali?
 
Kwani hamjui meneja aliyekuwepo huko? Au ni deiwaka kama naodha wa mv nyerere? Kamana nia ya kumpata anapatikana kirahisi tu wala hamna haja ya kuulizia jina lake hapa. Taarifa hii ipo clear.

Good questions boss. Hawa watu wanaamini kuwa sisi Watanzania wote ni mburula
 
Leo tarehe 20.10. 2018 nimesafiri na ndege ya shirika la ndege la Air Tanzania kutoka Bukoba kwenda Mwanza,nilichokiona kimenisikitisha sana.Pamoja najitihada kubwa za selkari ya awamu ya tano kuboresha usafiri wa anga,wafanyakazi wa shirika hilo ama hawajaandaliwa vyema au ni kwa makusudi mazima, kwa mwenendo huu niliouona wataliangusha shirika letu na kufifisha jitihada za selkari ya awamu ya tano kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha suala hili.

Ni hivi, tumeondoka Bukoba tukatua Mwanza, abiria wa mwanza tukashuka, kwa mshangao mkubwa tukaambiwa kuwa abiria 14 mizigo yao imebaki Bukoba, mimi nikiwa miongoni mwao pamoja na abiria 4 wa kigeni waliokuwa wanakwenda Serengeti,aliyetoa taarifa hiyo alikuwa ni afisa wa ngazi chini kabisa, na ndiyo hapo ikatokea taflani, abiria wakitaka kujua ni kwa nini mizigo yao imebaki! baada ya mshike mshike abiria wakadai kuonana na afisa mwandamizi, alikuja mtu aliyejitambulisha kwa cheo cha meneja, akiongea katika lugha isiyo ya kibiashara akasema mizigo imebaki kwa sababu za kiusalama na italetwa na ndege ya precission saa 11.30 jioni, kumbuka hapo ilikuwa saa 4 asubuhi.

Meneja huyo ambaye ameshindwa kabisa kuomba radhi kwa abiria wenye fadhaa na kuongea huku akionyesha kutojali kabisa,ametushagaza na kutusikisha sana,katika dunia ya sasa yenye ushindani hatukutegeme kabisa kuona haya yote yakitokea.

Tunashukuru mizigo tumeipata jioni ila mnyetishaji hapo air port ametueleza kuwa mizigo ya samaki inayotumwa na wafanyazi wa shirika na uwanja wa ndege kutoka Bukoba kwenda Dar, ndicho chanzo cha kubaki mizigo. Basi kama ni kweli, hii ni hatari kwa mustakabali na uhai wa shirika.
Sipati picha ya hawa watalii waliokuwa wanakwenda serengeti watapeleka picha gani makwao?
Jitahidini tuuonge mkono jitahada za selkari, kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo, hii nchi ni yetu sote.
Aione PASKALI Mayala
 
Mbona mizigo kubaki ni kitu cha kawaida kwa usafiri wa Ndege.Bukoba Mwanza unalalamika.je Newyork to Dar ungezimia kabisa.Ndege ndogo ni kawaida Kuwa calculated ya abiria na mizigo ipate uzito unaotakiwa kuruka na kuwa stable hewani pia abiria hupangwa kukaa kwenye Siti kila upande kupata uwiano.umeambiwa mizigo imebaki kwa ajili ya usalama na ndiyo usalama huo

Hivi umesoma alichoandika au unabwabwaja tu?
 
Asante sana Mkuu PANAFRICA kwa uungwana na ufafanuzi wa ziada. Nilikuwa nasubiri matusi lakini umejibu vizuri sana bila mihemuko kuonyesha nini hoja yako. Ukweli nimefarijika sana umejitahidi kuonyesha nguvu ya hoja badala ya hoja ya nguvu. Hili ndilo tunataka JF. Mkuu nikusaidie tena swala la uelewa wa biashara ya anga. Mashirikiano hayana mshindani katika air transport business. Sio ajabu Kenya na Ethiopia wakawa na code sharing yaani wakapeana abiria kwa njia ambazo mmojawapo haendi. It is about win win situation maana abiria atapanda ndege yako kama anahakika ya ku-connect bila matatizo. Nahisi, na lazima iwe hivyo, kuwa precision na ATCL wana reprotection agreement ambayo ni makubaliano kuhusu kubebeana abiria au mizigo when things get sour. Ndivyo airline business ilivyo otherwise you loose to others with brain to make use of opportunities in the market. Ingewachukua siku ngapi kupata mizigo yenu?

Unajitahidi kueleza

Samaki ujue bado wanahusu kusababisha mizigo iachwe Bukoba.. tena makusudi na kwa kudanganya.

Hayo unaeleza eleza.. ni kama unajaribu kufunika mada iliyoletwa.. ila mchezo huo kaambiwa na lazima upo wa kuachwa mizigo ili watu na madili wakauze samaki Dar

Mizigo kila abiria anajulikana atabeba usawa wa kiasi gani.. acha blah blah

Nashangaa sana huandiki juu ya usalama eti hatari.. chambua basi Mr kuogopa.. mtu akikujibu endelea sio unaandika uoga wako eti matusi.. kwanini uogope na ukiwa unajijua umeshusha nondo.. si ujihami.. uoga wako wewe kuna kitu.. eeeh yanakuhusu hayoooo

Andikaga usijali wa lugha chafu.. burudika JF kivyako..
 
Watanzania tuna matatizo makubwa sana. Tunapenda kusema na kufanya mambo tusiyoyajua na kuyaweza. Na tunaacha kuyasema na kuyafanya yale tunayoyaweza. Vizazi vinavyokuja ndio shida kuliko vizazi vilivyopo. Haya yote yameandaliwa kwa makusudi maalumu na bado hatushtuki
 
Mkuu uzito salama wa ndege kuruka nI (uzito wa ndege tupu+mafuta+mizigo+
abiria). Unachoweza kubadili hapo ni uzito wa mafuta, abiria, na mizigo. Ilikupata uzito unaotakiwa urefu wa runway, mwinuko wake toka usawa wa bahari, na hali ya hewa vinahusika. Uzito huu huwa unapatikana baada ya rubani kufika na kupata hali ya hewa wakati wa kuondoka hivyo tayari abiria wanakuwa wamemaliza checkin. Sina interest yoyote na atcl ila najaribu kuwapa elimu kidogo na kujua wapi hawa jamaa walikosea. Kosa lao ni kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa abiria. Nenda airport kuna kitengo cha lost and found uulizie takwimu za mizigo kuachwa kwa mashirika ya ndege. Mengine ni siasa na ndio maana unaona michango mufu. Watu wanatafuta wapi watowe hewa chafu na sio nini kifanyike atcl iendelee kuwapo. Kuhusu uoga, Mkuu hilo sina maana siandiki siasa ila ukweli kitaaluma na sidhani kama meneja wa mwanza au bukoba atakuwa na uelewa wa kiasi hiki. Nachosema sipo kwenye malumbano ya kisiasa bali kuangalia ukweli ulivyo kitaaluma.

Unajitahidi kueleza

Samaki ujue bado wanahusu kusababisha mizigo iachwe Bukoba.. tena makusudi na kwa kudanganya.

Hayo unaeleza eleza.. ni kama unajaribu kufunika mada iliyoletwa.. ila mchezo huo kaambiwa na lazima upo wa kuachwa mizigo ili watu na madili wakauze samaki Dar

Mizigo kila abiria anajulikana atabeba usawa wa kiasi gani.. acha blah blah

Nashangaa sana huandiki juu ya usalama eti hatari.. chambua basi Mr kuogopa.. mtu akikujibu endelea sio unaandika uoga wako eti matusi.. kwanini uogope na ukiwa unajijua umeshusha nondo.. si ujihami.. uoga wako wewe kuna kitu.. eeeh yanakuhusu hayoooo

Andikaga usijali wa lugha chafu.. burudika JF kivyako..
 
Mbona mizigo kubaki ni kitu cha kawaida kwa usafiri wa Ndege.Bukoba Mwanza unalalamika.je Newyork to Dar ungezimia kabisa.Ndege ndogo ni kawaida Kuwa calculated ya abiria na mizigo ipate uzito unaotakiwa kuruka na kuwa stable hewani pia abiria hupangwa kukaa kwenye Siti kila upande kupata uwiano.umeambiwa mizigo imebaki kwa ajili ya usalama na ndiyo usalama huo


Mkuu inabidi uwe muelewa japo kidogo,
Kubaki mzigo ni sahihi na ipo hata katika international flight, lakin mzigo hurudishwa pale pale Airport kabla hujaanza safar, sio baada ya safar ndo unamtaarifu mtu kuhusu kubaki kwa mzigo.
Ipo haja ya kubadilika
 
Kumbe unacholilia ni kuunga mkono sijuijuhudi za Jiwe. Shirika linaendeshwa unprofessionally kuanzia wafanyakazi hadi menejimenti sijui kwa vile hata mishahara mnayowalipa ni midogo? Nyambafu
 
Mkuu uzito salama wa ndege kuruka nI (uzito wa ndege tupu+mafuta+mizigo+
abiria). Unachoweza kubadili hapo ni uzito wa mafuta, abiria, na mizigo. Ilikupata uzito unaotakiwa urefu wa runway, mwinuko wake toka usawa wa bahari, na hali ya hewa vinahusika. Uzito huu huwa unapatikana baada ya rubani kufika na kupata hali ya hewa wakati wa kuondoka hivyo tayari abiria wanakuwa wamemaliza checkin. Sina interest yoyote na atcl ila najaribu kuwapa elimu kidogo na kujua wapi hawa jamaa walikosea. Kosa lao ni kukaa kimya bila kutoa taarifa kwa abiria. Nenda airport kuna kitengo cha lost and found uulizie takwimu za mizigo kuachwa kwa mashirika ya ndege. Mengine ni siasa na ndio maana unaona michango mufu. Watu wanatafuta wapi watowe hewa chafu na sio nini kifanyike atcl iendelee kuwapo. Kuhusu uoga, Mkuu hilo sina maana siandiki siasa ila ukweli kitaaluma na sidhani kama meneja wa mwanza au bukoba atakuwa na uelewa wa kiasi hiki. Nachosema sipo kwenye malumbano ya kisiasa bali kuangalia ukweli ulivyo kitaaluma.


Unaambiwa mchezo ndio huo unaleta habari za sijui nini na nini eeeeeeh

Dili dili hizo

Ukieleza mara moja huna haja ya kueleza..

Yaani unajitahidi kutoa elimu kwani umelazimishwa.. au wewe tu ndio mpanda nende na mtu wa kugugo... eeeeeh

Samaki samaki.. abiria kwanza mengine baadae..

Uandike usiandike hao inabidi wajiongeze.. wakiwa wanaacha mizigo wanaweza kuwatangazia..

Somo la upepo siju uzito.. mwisho wa siku kasikia ni samaki.. sasa samaki na wewe kujaribu sana kupindisha na hayo.. ongelea samaki.. eeeeh

Halafu mambo ya siasa yanaingiaje hapa.. mimi mwananchi na mbutudikaji humu JF

Unajaribu kufunika hayo yameandikwa.. eyi uzi sijui nini.. so.. kwani lazima watu wajadili kama hawayajui.. wanapita wanasoma.. hii ni habari ya mchezo mchafu unaofanyika..

Unaandika hao wakiombwa ripoti hata rubani utakuta hajui kitu labdaaaa

Samaki samaki 🤣🤣🤣 dili la samaki na kuacha mizigo ya abiria. Watu wamesoma sasa humu wachezeeni huko mkione
 
Sijakulazimisha ukubali ila sitakaa nikubali uongo pia. Tuwatende haki watanzania wasioweza kujisemea huku wakifanya mema kisha kuzushiwa uongo usio na kichwa wala miguu. Uburudikaji wako hapa JF una madhara kwa watanzania hawa wanaofanya kila liwezekanalo kuifanya ATC ionekane tena baada ya wezi wenzako kuondoshwa. Kwa mantiki hiyo ndio nimemua kutoa hiyo elimu na kwa bahati mbaya hata hapo Tanzania sipo lakini bado nabaki mtanzania. Hakuna samaki hapo ni uzushi na mihenuko isiyo na kichwa wala miguu.

Unaambiwa mchezo ndio huo unaleta habari za sijui nini na nini eeeeeeh

Dili dili hizo

Ukieleza mara moja huna haja ya kueleza..

Yaani unajitahidi kutoa elimu kwani umelazimishwa.. au wewe tu ndio mpanda nende na mtu wa kugugo... eeeeeh

Samaki samaki.. abiria kwanza mengine baadae..

Uandike usiandike hao inabidi wajiongeze.. wakiwa wanaacha mizigo wanaweza kuwatangazia..

Somo la upepo siju uzito.. mwisho wa siku kasikia ni samaki.. sasa samaki na wewe kujaribu sana kupindisha na hayo.. ongelea samaki.. eeeeh

Halafu mambo ya siasa yanaingiaje hapa.. mimi mwananchi na mbutudikaji humu JF

Unajaribu kufunika hayo yameandikwa.. eyi uzi sijui nini.. so.. kwani lazima watu wajadili kama hawayajui.. wanapita wanasoma.. hii ni habari ya mchezo mchafu unaofanyika..

Unaandika hao wakiombwa ripoti hata rubani utakuta hajui kitu labdaaaa

Samaki samaki 🤣🤣🤣 dili la samaki na kuacha mizigo ya abiria. Watu wamesoma sasa humu wachezeeni huko mkione
 
Due wabongo kwa upigaji ile mahakamani haifai kukaa bure, kumbe heri fish zifike na sio mizigo ya abiria,
Leo tarehe 20.10. 2018 nimesafiri na ndege ya shirika la ndege la Air Tanzania kutoka Bukoba kwenda Mwanza,nilichokiona kimenisikitisha sana.Pamoja najitihada kubwa za selkari ya awamu ya tano kuboresha usafiri wa anga,wafanyakazi wa shirika hilo ama hawajaandaliwa vyema au ni kwa makusudi mazima, kwa mwenendo huu niliouona wataliangusha shirika letu na kufifisha jitihada za selkari ya awamu ya tano kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha suala hili.

Ni hivi, tumeondoka Bukoba tukatua Mwanza, abiria wa mwanza tukashuka, kwa mshangao mkubwa tukaambiwa kuwa abiria 14 mizigo yao imebaki Bukoba, mimi nikiwa miongoni mwao pamoja na abiria 4 wa kigeni waliokuwa wanakwenda Serengeti,aliyetoa taarifa hiyo alikuwa ni afisa wa ngazi chini kabisa, na ndiyo hapo ikatokea taflani, abiria wakitaka kujua ni kwa nini mizigo yao imebaki! baada ya mshike mshike abiria wakadai kuonana na afisa mwandamizi, alikuja mtu aliyejitambulisha kwa cheo cha meneja, akiongea katika lugha isiyo ya kibiashara akasema mizigo imebaki kwa sababu za kiusalama na italetwa na ndege ya precission saa 11.30 jioni, kumbuka hapo ilikuwa saa 4 asubuhi.

Meneja huyo ambaye ameshindwa kabisa kuomba radhi kwa abiria wenye fadhaa na kuongea huku akionyesha kutojali kabisa,ametushagaza na kutusikisha sana,katika dunia ya sasa yenye ushindani hatukutegeme kabisa kuona haya yote yakitokea.

Tunashukuru mizigo tumeipata jioni ila mnyetishaji hapo air port ametueleza kuwa mizigo ya samaki inayotumwa na wafanyazi wa shirika na uwanja wa ndege kutoka Bukoba kwenda Dar, ndicho chanzo cha kubaki mizigo. Basi kama ni kweli, hii ni hatari kwa mustakabali na uhai wa shirika.
Sipati picha ya hawa watalii waliokuwa wanakwenda serengeti watapeleka picha gani makwao?
Jitahidini tuuonge mkono jitahada za selkari, kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo, hii nchi ni yetu sote.
 
T
Leo tarehe 20.10. 2018 nimesafiri na ndege ya shirika la ndege la Air Tanzania kutoka Bukoba kwenda Mwanza,nilichokiona kimenisikitisha sana.Pamoja najitihada kubwa za selkari ya awamu ya tano kuboresha usafiri wa anga,wafanyakazi wa shirika hilo ama hawajaandaliwa vyema au ni kwa makusudi mazima, kwa mwenendo huu niliouona wataliangusha shirika letu na kufifisha jitihada za selkari ya awamu ya tano kama hatua za haraka hazitachukuliwa kurekebisha suala hili.

Ni hivi, tumeondoka Bukoba tukatua Mwanza, abiria wa mwanza tukashuka, kwa mshangao mkubwa tukaambiwa kuwa abiria 14 mizigo yao imebaki Bukoba, mimi nikiwa miongoni mwao pamoja na abiria 4 wa kigeni waliokuwa wanakwenda Serengeti,aliyetoa taarifa hiyo alikuwa ni afisa wa ngazi chini kabisa, na ndiyo hapo ikatokea taflani, abiria wakitaka kujua ni kwa nini mizigo yao imebaki! baada ya mshike mshike abiria wakadai kuonana na afisa mwandamizi, alikuja mtu aliyejitambulisha kwa cheo cha meneja, akiongea katika lugha isiyo ya kibiashara akasema mizigo imebaki kwa sababu za kiusalama na italetwa na ndege ya precission saa 11.30 jioni, kumbuka hapo ilikuwa saa 4 asubuhi.

Meneja huyo ambaye ameshindwa kabisa kuomba radhi kwa abiria wenye fadhaa na kuongea huku akionyesha kutojali kabisa,ametushagaza na kutusikisha sana,katika dunia ya sasa yenye ushindani hatukutegeme kabisa kuona haya yote yakitokea.

Tunashukuru mizigo tumeipata jioni ila mnyetishaji hapo air port ametueleza kuwa mizigo ya samaki inayotumwa na wafanyazi wa shirika na uwanja wa ndege kutoka Bukoba kwenda Dar, ndicho chanzo cha kubaki mizigo. Basi kama ni kweli, hii ni hatari kwa mustakabali na uhai wa shirika.
Sipati picha ya hawa watalii waliokuwa wanakwenda serengeti watapeleka picha gani makwao?
Jitahidini tuuonge mkono jitahada za selkari, kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo, hii nchi ni yetu sote.
Typical parastatal syndrome
 
Je ni kweli kwamba mizigo yenu ilikuwa inashukiwa?SOPs za mzigo unaoshukiwa kubakizwa zikoje?
Kwa sisi wazoefu wa safari mizigo ukiwa na sababu za kiusalama mwenye mzigo hawezi ruhusiwa kusafiri. Ndiyo maana mizigo yote ukaguliwa na kupewa clearance mbele ya macho ya mwenye mzigo.
 
Sijakulazimisha ukubali ila sitakaa nikubali uongo pia. Tuwatende haki watanzania wasioweza kujisemea huku wakifanya mema kisha kuzushiwa uongo usio na kichwa wala miguu. Uburudikaji wako hapa JF una madhara kwa watanzania hawa wanaofanya kila liwezekanalo kuifanya ATC ionekane tena baada ya wezi wenzako kuondoshwa. Kwa mantiki hiyo ndio nimemua kutoa hiyo elimu na kwa bahati mbaya hata hapo Tanzania sipo lakini bado nabaki mtanzania. Hakuna samaki hapo ni uzushi na mihenuko isiyo na kichwa wala miguu.

Wewe hii imekugusa..
Ndio umejaa uoga lazima mwili unatetemeka..
Kaa chini ulie tu maana 💉💉💉
⌛⌛⌛
 
Back
Top Bottom