Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
Habari zilizotudondokea hivyi punde zinasema manji na kundi la viongozi kadha wa tff (kayuni) wamemwaga pesa kwa timu ya majimaji ili isiingie uwanjani leo! Habari hizo zinazidi kusema yanga hata wakishinda bao moja tu itatosha kuwa bingwa! Nazidi kufualia kwa makini wanajamvi kwani hela inayotajwa kutolewa ni zaidi ya milion miambili!!! Mwenye habari zaidi atujuze