Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Nimesimuliwa kioja hiki na kiongozi mwandamizi wa huko nilipokuwa nafuatilia yaliyojilia ziara ya Naibu Waziri Mwanri wilayani Ludewa, hujuma zimezoeleka kwa miongo na awamu kadhaa za uongozi katika nchi hii, ni donda ndugu.
Asante Mfuatiliaji, na haya mambo ya watendaji kuwadanganya viongozi hayajaanza leo;
Asante Mfuatiliaji, na haya mambo ya watendaji kuwadanganya viongozi hayajaanza leo;
Mwaka 1988 kule Manda - Ludewa idara ya maji hao hao walimdanganya Rais Mwinyi, wakachotelea maji kwa ndoo, wakayajaza kwenye tenki, Rais Mwinyi akanawa maji bombani na alivyoondoka maji hayakutoka tena mpaka leo.