Wana Jf nimefatilia leo Usiku kuanzia saa mbili usiku mpaka saa tatu umeme ulikatika sehemu kubwa ya Tanzania,Iringa,Dodoma,Mwanza,Kigoma,Lindi,Mtwara haya ni maeneo ambayo nina uhakika kwa asilimia 100 kuwa umeme ulikatika kwa muda wa dakika 50 mpaka 60 ili watanzania wasimuone LOWASA akiongea.