IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 385
Kwanza nipeni pole sikuweza kuangalia Dr.Slaa akijibu maswali live muda mfupi uliopita.Kwa kuwa nipo kikazi huku na sina Tv nikajisogeza baa kutazama kipindi..kilipoanza tu baada ya kama dk 5 mwenye baa kazima tv ati inampigia kelele..7o selfish..nikahamia baa nyingine mara umeme si ukakatika mji mzima ati bada ya kipindi umeme ukarudi...tutafika kweli..