Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.