Elections 2010 Hujuma kuwanyima Chadema kuwa Chama kikuu cha Upinzani Bungeni

Soma Raia Mwema ya leo uk wa 2 kuhusu suala hili - paragraph husika inasema:

Kwa kadri ya mwenendo wa matokeo, chama chenye kupata wabunge wengi ndicho kitakachoweza kuunda serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kile kitakachofuata kwa idadi ya wabunge kitaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni.

Mchuano huo ama kuongoza kambi ya upinzani au kuunda serikali sasa ni dhahiri ni kati ya CCM na Chadema

Kwa mujibu wa mwenendo wa matokeo ya kura za ubunge, Chadema inaelekea kupata wabunge wengi zaidi ya CUF ambacho awali ndicho kilichokuwa kikiongoza Kambi ya Upinzani Bungeni chini ya kiongozi wake Hamad Rashid Mohammed.

Hata hivyo, katika Bunge la tisa lililovunjwa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, CUF ilikuwa na uwezo wa kuunda kambi ya upinzani bila ya kushirikisha chama kingine cha upinzani na ilifanya hivyo mwanzoni mwa Bunge lakini baadaye chama hicho kilishirikisha wabunge wa vyama vingine ambavyo ni Chadema, UDP, na TLP.

Katika mazungumzo yake na Raia Mwema kuhusu mazingira hayo, kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni aliyemaliza muda wake Hamad Rashid Mohamed amesema taratibu za sasa zinabainisha chama chochote cha siasa kinaweza kuunda kambi yake kama kitafikisha asilimia 12 ya wabunge wote wa Bunge.

Wabunge hao wanaopaswa kuunda asilimia hiyo 12 ni wa majimboni pamoja na wa viti maalum ambao idadi yao kutoka katika chama cha siasa inategemea idadi ya kura za urais alizopata mgombea urais wa chama hicho.

Mgombea urais atakayekuwa na kura nyingi za urais ndiye chama chake kitapata wabunge wengi zaidi wa viti maalum.

Kwa mwenendo ulivyo, Raia Mwema imebaini kuwa wagombea wa urais wanaotarajiwa kupata kura nyingi zitakazowezesha vyama vyao kupata wabunge wengi wa viti maalum ni Jakaya Kikwete wa CCM, akifuatiwa na Dk Wilbrod Slaa wa Chadema huku Profesa Ibrahim Lipumba akiwa katika nafasi ya tatu….


Asante Mkuu Zak.

Kwa hivyo dhahiri Chadema ndicho kitakachoweza kuunda kambi ya upinzani, unless kama serikali ya CCM (yenye kumiliki Tume hii ya uchaguzi) - NEC) itakapoamua kukinyima Chadema haki hiyo kwa kumfanya Lipumba kuwa wa pili kwa JK katika kura za urais ili CUF ipate wabunge wengi wa viti maalum.
 
Nchi hii inaharibiwa na CCM na JK lazima nchi imfie. Acha CCM wafanye wanayo yafanya lakini iko siku Mungu mpenda haki atawaanika juani na haki ya kweli kwa wapenda haki itapatikana. Tunawaombea wana CCM maisha marefu ili wapenda haki tutakapo inuliwa wapate kushuhudia. Marehemu Horace Kolimba alisema kuwa CCM imekosa mwelekeo, hakukusea. Matokeo yake tunayaona sasa. Machafuko ya nchi za kiafrika hasa baada ya chaguzi yanasababishwa na chama tawala kwa kung'ang'ania madaraka ili hali wananchi wameshachoshwa. Kibaki, Mugabe walilazimisha kujitangaza washindi wakati nguvu ya umma haiwataki. Kikwete akifuata mkondo atalaaniwa milele.Napenda kuwaambia kuwa, watanzania wa leo siyo wale wa miaka iliyopita, si watanzania wa kudanganyika kirahisi. Kwa mwenendo wa kura unavooenda kama una akili timamu huwezi kusema Kikwete atashinda kihalali, hilo hata mtoto mdogo analifahamu. Haiwezekani Jimbo ambalo Mbunge wa upinzani kamshinda wa CCM kwa zaidi ya 40% halafu jimbo hilo hilo Kikwete ashinde kwa zaidi ya 70% . CCM watachakachua kura, watachakachua roho zetu lakini Mungu wa kweli iko siku atasikia kilio cha watanzania na mapinduzi ya kweli yatapatikana. Tunaomba CCM wasitumie maiti za watanzania kama daraja la kupandia kupata madaraka kwa tamaa zao. Iko siku roho zinazochakachuliwa sasa hivi zitaamka na haki itapatikana. Kwa kinachoonekana sasa hivi majimboni ni uvunjaji wa haki za binadamu na vyote hivi vinaongozwa na CCM. JAMANI CCM kama wananchi hawawataki MSILAZIMISHE. Na viongozi mnaoingia madarakani kwa kuchakachua matokeo hamtakuja kupata amani moyoni kwako kwa dhambi uliyofanya. Kama mwananchi unayetaka kumuongoza hakutaki....na bado unang'ang'ania unataka mwisho wa siku uongozi maiti? Iko siku nguvu ya umma itakapoamua, mtalia na kusaga meno. Ni hayo tu
 
Kwa hilo hawawezi hadi sasa hakuna chama kingine zaidi ya CCM kitakachoipiku Chadema wabunge, usisahau idadi ya kura za uraisi nayo itachangia kwenye 30% ya viti maalum kitu ambacho Lipumba ameshamaliza pumzi yeye alitegemea kura za Pemba na Kusini ambazo tayari zimeshatolewa.

Heshima yako mkuu, ibara gani ya katiba inayosema kura za urais zinatumika kukokotoa idadi ya wabunge wa viti maalum mkuu?
 
Wee umerogwa eenh? nani alokwambia lengo ni chama kikuu cha upinzani, lengo ni upinzani kuwa juu! wee unawaza kubomoaaa-toa uchafu wako huu.

nakushukuru mkuu kwa maoni yako, napenda tunapokuwa kwenye janvi hili na watu wenye viwango vya elimu na tabia tofauti.
 
Hii ndio faida pekee mkuu??

chama chako kinatoa waziri mkuu kivuli, unakuwa na upper hand katika kuamua political interventions ndani ya bunge. unapata first access to very important and strategic public information. unahudhuria a lot of policy dialogue processes. kuna faida nyingi sana kwa kweli.
 
Wee umerogwa eenh? nani alokwambia lengo ni chama kikuu cha upinzani, lengo ni upinzani kuwa juu! wee unawaza kubomoaaa-toa uchafu wako huu.

Mkuu wangu, majimbo ambayo tayari yameshatangazwa ccm imechukua mengi mno na yaliyobakia hatuna uhakika nayo. ni vizuri tukaanza kutaza plan B yetu mkuu kisha tujipange kama unavyosema ili 2015 tuongoze. tutafika tu
 
Nchi hii inaharibiwa na CCM na JK lazima nchi imfie. Acha CCM wafanye wanayo yafanya lakini iko siku Mungu mpenda haki atawaanika juani na haki ya kweli kwa wapenda haki itapatikana. Tunawaombea wana CCM maisha marefu ili wapenda haki tutakapo inuliwa wapate kushuhudia. Marehemu Horace Kolimba alisema kuwa CCM imekosa mwelekeo, hakukusea. Matokeo yake tunayaona sasa. Machafuko ya nchi za kiafrika hasa baada ya chaguzi yanasababishwa na chama tawala kwa kung'ang'ania madaraka ili hali wananchi wameshachoshwa. Kibaki, Mugabe walilazimisha kujitangaza washindi wakati nguvu ya umma haiwataki. Kikwete akifuata mkondo atalaaniwa milele.Napenda kuwaambia kuwa, watanzania wa leo siyo wale wa miaka iliyopita, si watanzania wa kudanganyika kirahisi. Kwa mwenendo wa kura unavooenda kama una akili timamu huwezi kusema Kikwete atashinda kihalali, hilo hata mtoto mdogo analifahamu. Haiwezekani Jimbo ambalo Mbunge wa upinzani kamshinda wa CCM kwa zaidi ya 40% halafu jimbo hilo hilo Kikwete ashinde kwa zaidi ya 70% . CCM watachakachua kura, watachakachua roho zetu lakini Mungu wa kweli iko siku atasikia kilio cha watanzania na mapinduzi ya kweli yatapatikana. Tunaomba CCM wasitumie maiti za watanzania kama daraja la kupandia kupata madaraka kwa tamaa zao. Iko siku roho zinazochakachuliwa sasa hivi zitaamka na haki itapatikana. Kwa kinachoonekana sasa hivi majimboni ni uvunjaji wa haki za binadamu na vyote hivi vinaongozwa na CCM. JAMANI CCM kama wananchi hawawataki MSILAZIMISHE. Na viongozi mnaoingia madarakani kwa kuchakachua matokeo hamtakuja kupata amani moyoni kwako kwa dhambi uliyofanya. Kama mwananchi unayetaka kumuongoza hakutaki....na bado unang'ang'ania unataka mwisho wa siku uongozi maiti? Iko siku nguvu ya umma itakapoamua, mtalia na kusaga meno. Ni hayo tu


Hayo ndugu yangu hayamo kwenye kamusi za mafisadi, they dont have conscious, i.e is dead! But I agree with u that we need to sacrifice ourself for sake of our freedom from their exploitation! Mungu atabariki kazi za mikono yetu!
Utaratibu wa kupata viongozi ccm ni kuchakachua, sasa. Wote uwaonao kushinda kwenye kula za maouni maana yake they are expert in the area of 'kuchakachua'! Sasa unategemea nini, hao ni wezi wa kura hata wao wanajua, na hata mwenyekiti na manager wa campaign wanajua, lakini wameeamua kufisha conscoiusness hence they are spiritually dead!
 
Toa majibu yako kwanza kuhusu hujuma hii ya ccm kabla hujakimbilia mambo mengine

Hilo ni gumu ccm wameshachelewa!
1Kawe - Halima James Mdee/CHADEMA
2Singida Mashariki - Tundu Lissu/CHADEMA
3Mbulu - Mustapha Quorro Akonaay/CHADEMA
4Karatu - Israel Yohana/CHADEMA
5Ubungo - John Mnyika/CHADEMA
6Mbozi Mashariki - Silinde David/CHADEMA
7Kibondo - CHADEMA
8Ukerewe - Salvatory Naluyaga Machemuli/CHADEMA
9Arumeru Magharibi - Ole Sambu/CHADEMA
10Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II)/CHADEMA
11Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
12Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
13Rombo - Julius Selasini/CHADEMA
14Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA
15Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA
16Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
17Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
18Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA
19Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
20Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA
21Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
22Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
23Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

 
Asante Mkuu Zak.

Kwa hivyo dhahiri Chadema ndicho kitakachoweza kuunda kambi ya upinzani, unless kama serikali ya CCM (yenye kumiliki Tume hii ya uchaguzi) - NEC) itakapoamua kukinyima Chadema haki hiyo kwa kumfanya Lipumba kuwa wa pili kwa JK katika kura za urais ili CUF ipate wabunge wengi wa viti maalum.
We nawe kwa akili yako ya kawaida unategemea majimbo gani huku bara Lipumba atamzidi Slaa, hapa tunaongelea upinzani mkali ni kati ya Kikwete na Slaa na si Lipumba na Slaa.
 
Una uhakika Baregu na Marando hawajawahi kuwa wanachama wa CCM maisha yao yote? Hapo zamani ili usome ufanye kazi ulihitaji kadi ya chama.
Napenda kuwatia moyo wanajamii kuwa pamoja na kuwa sote tunapenda CHADEMA iongoze upinzani naomba tusiigawe nguvu ya upinzani bungeni. Kufanya hivyo ni shida kubwa ukizingatia mwafaka wa CCM na CUF kule Zanzibar ... Uwezekano ni CUF kushabikia hoja kutoka rangi ya kijani
 
Hero pia umelala usingizi, maliza kwanza jambo lililopo mezani ndo tukadai kura zetu walizoiba za urais

kwa hilo ccm wameamua kujifuka blanket wakati kumekucha!
1Kawe - Halima James Mdee/CHADEMA
2Singida Mashariki - Tundu Lissu/CHADEMA
3Mbulu - Mustapha Quorro Akonaay/CHADEMA
4Karatu - Israel Yohana/CHADEMA
5Ubungo - John Mnyika/CHADEMA
6Mbozi Mashariki - Silinde David/CHADEMA
7Kibondo - CHADEMA
8Ukerewe - Salvatory Naluyaga Machemuli/CHADEMA
9Arumeru Magharibi - Ole Sambu/CHADEMA
10Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II)/CHADEMA
11Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
12Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
13Rombo - Julius Selasini/CHADEMA
14Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA
15Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA
16Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
17Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
18Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA
19Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
20Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA
21Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
22Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
23Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

and plus plus


 
Hilo ni gumu ccm wameshachelewa!
1Kawe - Halima James Mdee/CHADEMA
2Singida Mashariki - Tundu Lissu/CHADEMA
3Mbulu - Mustapha Quorro Akonaay/CHADEMA
4Karatu - Israel Yohana/CHADEMA
5Ubungo - John Mnyika/CHADEMA
6Mbozi Mashariki - Silinde David/CHADEMA
7Kibondo - CHADEMA
8Ukerewe - Salvatory Naluyaga Machemuli/CHADEMA
9Arumeru Magharibi - Ole Sambu/CHADEMA
10Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II)/CHADEMA
11Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
12Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
13Rombo - Julius Selasini/CHADEMA
14Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA
15Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA
16Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
17Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
18Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA
19Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
20Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA
21Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
22Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
23Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

24Prof Kahigi/CHADEMA.BUKOMBE shy
 
Una uhakika Baregu na Marando hawajawahi kuwa wanachama wa CCM maisha yao yote? Hapo zamani ili usome ufanye kazi ulihitaji kadi ya chama.
Napenda kuwatia moyo wanajamii kuwa pamoja na kuwa sote tunapenda CHADEMA iongoze upinzani naomba tusiigawe nguvu ya upinzani bungeni. Kufanya hivyo ni shida kubwa ukizingatia mwafaka wa CCM na CUF kule Zanzibar ... Uwezekano ni CUF kushabikia hoja kutoka rangi ya kijani

Tofautisha TANU na CCM. Marando hata tanu hakuwa mwanachama
 
kwa hilo ccm wameamua kujifuka blanket wakati kumekucha!
1Kawe - Halima James Mdee/CHADEMA
2Singida Mashariki - Tundu Lissu/CHADEMA
3Mbulu - Mustapha Quorro Akonaay/CHADEMA
4Karatu - Israel Yohana/CHADEMA
5Ubungo - John Mnyika/CHADEMA
6Mbozi Mashariki - Silinde David/CHADEMA
7Kibondo - CHADEMA
8Ukerewe - Salvatory Naluyaga Machemuli/CHADEMA
9Arumeru Magharibi - Ole Sambu/CHADEMA
10Mbeya Mjini - Joseph Mbilinyi (Mr. II)/CHADEMA
11Moshi Mjini - Philemon Ndesamburo Kiwelu/CHADEMA
12Biharamulo Magharibi - Dk Antony Mbasa/CHADEMA
13Rombo - Julius Selasini/CHADEMA
14Nyamagana - Hezekiah Wenje/CHADEMA
15Iringa Mjini - Mchungaji Peter Msigwa/CHADEMA
16Hai - Freeman Mbowe/CHADEMA
17Musoma Mjini - Vincent Nyerere/CHADEMA
18Arusha Mjini - Godbless Lema/CHADEMA
19Kigoma Kaskazini - Zitto Kabwe/CHADEMA
20Ilemela - Hayness Samson/CHADEMA
21Maswa Magharibi - John Shibuda/CHADEMA
22Meatu - Meshack Opulukwa/CHADEMA
23Maswa Mashariki - Sylvester Kasulimbayi Mhoja/CHADEMA

and plus plus



Kibondo na arumeru magharibi sio kweli, nisahihishe kama nimekosea
 
Ofisi ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni inapata budget ya sh 500 milioni kwa mwaka.

Kumbe ndio lengo la kelele zote hizi, watu wanawaza makubwa wee unawaza milioni 500 kwa mwaka! Ndio itatosha kusomesha wanafunzi wote bure hadi form six, ua? Kumbe humu kuna wanamageuzi wa maendeleo ya kweli na wapigania matumbo yao! I hate people like u more than I hate ccm.
 
Back
Top Bottom