Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
yaani, mwenzenu huwa nikichukizwa na jambo, ama kutaka kujifunza mambo mbali mbali, hufungua ka kompyuta kangu na kuingia JF aaah hunifanya kucheka sana, kufurahi, na kupata amani pale ninapokuwa nimeudhika na jambo fulani,
.......sijui we mwenzangu!
.......sijui we mwenzangu!