Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
[h=6]Hapa hakuna kitu kinaitwa "kufanya makosa" Kuna msemo wa kingereza kwamba someone is better than No one ni uwongo kwani No One is better than a relationship that lack respect
Wapo watu ambao (hasa wanawake wale ambao wanaona muda unaenda bila kuwa na mchumba au mpenzi wa kuwa naye katika maisha) huamua kushikana na bora mwanaume kwa kudhania kwamba ni heri kuwa na huyo mmoja kuliko kutakuwa naye kabisa.
Subiri kidogo nikwambie!
Kujiingiza kwa wanaume ambaye moyo wako hauko radhi eti kwa sababu unataka na wewe uonekane una mpenzi au una mchumba au una mume au una boyfriend ni kuumiza hisia zako.
Hata kama unaamini utafanikisha matakwa yako bila kuunganishwa emotionally, intellectually au affectionally utaishia kuumizwa.
Wengi wanajuta kwa sababu ya kuamini kwamba "someone is better than no one, hata hivyo waliokiri kwamba "no one is better than a relationship that lack respect" wanapeta.
Tafakari kwa makini![/h]
Wapo watu ambao (hasa wanawake wale ambao wanaona muda unaenda bila kuwa na mchumba au mpenzi wa kuwa naye katika maisha) huamua kushikana na bora mwanaume kwa kudhania kwamba ni heri kuwa na huyo mmoja kuliko kutakuwa naye kabisa.
Subiri kidogo nikwambie!
Kujiingiza kwa wanaume ambaye moyo wako hauko radhi eti kwa sababu unataka na wewe uonekane una mpenzi au una mchumba au una mume au una boyfriend ni kuumiza hisia zako.
Hata kama unaamini utafanikisha matakwa yako bila kuunganishwa emotionally, intellectually au affectionally utaishia kuumizwa.
Wengi wanajuta kwa sababu ya kuamini kwamba "someone is better than no one, hata hivyo waliokiri kwamba "no one is better than a relationship that lack respect" wanapeta.
Tafakari kwa makini![/h]