M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Anaitwa Lakshmi mtoto huyu alizaliwa na miguu minne na mikono zaidi ya miwili iliyokuwa inazidi kuchomoza kila siku.,Lakini Mungu mkubwa alipofikisha miaka miwili akafanyiwa operation ya kumwondoa miguu na mikono ile ya ziada na hatimaye akarudi kuwa kiumbe cha kawaida.