Hujafa haujaumbika - God's Great

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
attachment.php

Mapacha wawili walioungana kiwiliwili, Maria Mwakikuti (kushoto) na Consolata Mwakikuti (kulia) wakipata chakula pamoja wakati wa hafla ya kuwapongeza kwa kufaulu mtihani wa Darasa la Saba iliyofanyika katika Hospitali ya Misheni Ikonda Makete.
 

Attachments

  • 12_10_nxpfab.jpg
    12_10_nxpfab.jpg
    108.5 KB · Views: 490
Huo ni utukufu wa mungu. Mungu yupo na mungu ni mkuu aweza kufanya anavyotaka yeye.
 
Mungu wape uvumilivu watoto hawa ilii watimize ndoto zao. Ujenzi wa miundombinu yetu izingatie mahitji ya wote ili kumfanya kila mmoja afurahie kuishi.
 
Nilipenda confidence ya hawa watoto jana! Mungu aendelee kuwabariki. Amen
 
hao madogo dah wamenikanyaga mtimani ile mbaya hawawezi kutenganishwa hawa?
 
bwaa yesu mungu wangu ninayekuamini naomba uwasaidie hawa binti zako wapate faraja na kutimiza ndoto zao maishani na hata milele
 
hao madogo dah wamenikanyaga mtimani ile mbaya hawawezi kutenganishwa hawa?

hata mm nimeingiwa na imani,

DJ najifunza English kwa bidii embu nisaidie hapa kwenye red kuko sahihi?

Dear Lord, you've done took so many of my people but I'm just wonderin' why
You haven't taken my life?
 
Niliwaona wakati wana miaka miwili, walezi wao wamefanya kazi kubwa sana, Mungu awape maisha marefu.
 
Kwa mujibu wa Dr. wao hawawezi kutenganishwa kwani kuna baadhi ya vitu wanashare haswa kuanzia tumboni,kila mmoja ana mguu mmoja... Japo wote wana mikono miwili kila mmoja... mtoto mmoja alikuwa anaandika kwenye Dawati mwingine juu ya tumbo la mwenzake...Yaani wakijaribu kuwatenganisha tu tu ndio itakuwa mwisho wao... MUNGU WAJALIE MAISHA MAREFU!!!...
 
Kwa ushauri wangu pia wangetoa akaunti namba kwa ajili ya wasamaria wema kuwasaidia watoto hawa.
 
hata mm nimeingiwa na imani,

DJ najifunza English kwa bidii embu nisaidie hapa kwenye red kuko sahihi?

Dear Lord, you've done took so many of my people but I'm just wonderin' why
You haven't taken my life?

inakuwaje jibaba nguli?
hiyo ni one of the least used tenses in english jibaba hiyo inatumika kwenye situation kama hizi
* When it's important to say which event happened first in the past
* In reported speech
* To show regret about the past
* In conditional (if) sentences
hope nimeku highlight kidogo mjita lakini si unaelewa kimombo chetu cha kitabata tabata!
 
Dah aisee, i am proud of them. Mungu azidi kuwalinda na kuwaepusha na maradhi. It gud kuona wanaendelea vizuri na ni jukumu letu wote kuwatunza sio serikali au kanisa tuu.
 
Back
Top Bottom