Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,435
- 2,000
Wasalaam!
Nikiri kuwa kwa kipindi cha Karibuni maGT wengi wameamua kunyamaza japo kunyamaza si suruhisho sahihi kama kuna tatizo limegundulika katika jamii.
Hebu tujadiri hili la "katika utawala wangu" nadhani kiguginizi kinatupata kwakuwa tulizoea kuongozwa! sasa hali imebadirika katokeza mtawara!
Je waliompigia kura walichagua mtawara au kiongozi?
Nikiri kuwa kwa kipindi cha Karibuni maGT wengi wameamua kunyamaza japo kunyamaza si suruhisho sahihi kama kuna tatizo limegundulika katika jamii.
Hebu tujadiri hili la "katika utawala wangu" nadhani kiguginizi kinatupata kwakuwa tulizoea kuongozwa! sasa hali imebadirika katokeza mtawara!
Je waliompigia kura walichagua mtawara au kiongozi?