Hughes gets Man City Job.

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Kama ambavyo wengi tulitarajia, yule kocha wa zamani wa Blackburn Rovers leo hii amesaini mkataba wa miaka mitatu kuziba pengo lililoachwa wazi baada ya Sven Ericksson kupigwa chini. Kuna tetesi pia kwamba Hughes alikuwa kwenye two men short list ya candidates wa kukalia kiti cha moto huko Stanford Bridge.
 
Mi nikafikiri mtu kawaimpress City Gods katika interview kwa ku recite mashairi ya Langston Hughes.

Kweli kila shetani na mbuyu wake!
 
Kama ambavyo wengi tulitarajia, yule kocha wa zamani wa Blackburn Rovers leo hii amesaini mkataba wa miaka mitatu kuziba pengo lililoachwa wazi baada ya Sven Ericksson kupigwa chini. Kuna tetesi pia kwamba Hughes alikuwa kwenye two men short list ya candidates wa kukalia kiti cha moto huko Stanford Bridge.

Hired to be fired...lets wait...3yrs? We'll see!
 
Well nenda kachukue experience then uje ubebe mikoba ya Sir Alex Ferguson 2011
Nafikiri utakuwa umeiva
 
Kwa Hughes kukaa man city for 3 yrs haiwezekani maana huyo tajiri mmh jeuri!
 
Ni kweli. nasikia tajiri wao ni jeuri kweli kuliko hata wa daraja la Stanford. Na Hughes mwenyewe kichwa ngumu vile vile.....Lakini soka analifahamu, wakati wake pale Trafford mzee na chama zima la wasukuma gozi akina Paul Parker, Dennis Irwin, MacAlister, Gary Pallister, Paul Ince, Eric Cantona nk. nk, majina mengi. All the best lakini....yetu macho.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom