Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Watafiti na wanazuoni huamini kwamba makuzi, vitabu unavyosoma au marafiki huchangia kwa kiasi kikubwa mafanikio au kuanguka kwako.
Nimekuwa nikifanya utafiti sababu za anguko la Chadema nikafuatilia vitabu wanavyotumia kupata maarifa, hii ni sehemu ambayo wanatakiwa waifanyie kazi.
Ni ushauri tu, wahenga tunasema "sikio la kufa halisikii dawa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Watafiti na wanazuoni huamini kwamba makuzi, vitabu unavyosoma au marafiki huchangia kwa kiasi kikubwa mafanikio au kuanguka kwako.
Nimekuwa nikifanya utafiti sababu za anguko la Chadema nikafuatilia vitabu wanavyotumia kupata maarifa, hii ni sehemu ambayo wanatakiwa waifanyie kazi.
Ni ushauri tu, wahenga tunasema "sikio la kufa halisikii dawa".
Sent using Jamii Forums mobile app