GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
A South African Airways pilot has been asked to step down after his fake license was exposed.
The senior pilot has reportedly been operating with a forged permit for 20 years.
Na katika muendelezo wa taarifa hii ni kwamba muda mfupi tu umepita ( dakika chache ) Serikali ya Afrika Kusini imesema kuanzia Jumatatu itaanza ' Ukaguzi ' mkubwa na ' Kabambe ' wa Kugagua Vyeti vya Marubani ( Pilots ) wa Ndege zake.
Nimejiwazia tu kwamba huenda pia na Marubani walioleta Mwili wa ' Shujaa ' Wetu leo labda nao Vyeti vyao ni vya ' Umagumashi ' ila pengine wametumia tu uzoefu Wao Kurusha ' Pipa ' kutoka Gauteng / Jorzy Afrika Kusini hadi Kiwalani Ukonga nchini Tanzania.
Chanzo Taarifa: Mtandao wa South African News
Nawasilisha.
The senior pilot has reportedly been operating with a forged permit for 20 years.
Na katika muendelezo wa taarifa hii ni kwamba muda mfupi tu umepita ( dakika chache ) Serikali ya Afrika Kusini imesema kuanzia Jumatatu itaanza ' Ukaguzi ' mkubwa na ' Kabambe ' wa Kugagua Vyeti vya Marubani ( Pilots ) wa Ndege zake.
Nimejiwazia tu kwamba huenda pia na Marubani walioleta Mwili wa ' Shujaa ' Wetu leo labda nao Vyeti vyao ni vya ' Umagumashi ' ila pengine wametumia tu uzoefu Wao Kurusha ' Pipa ' kutoka Gauteng / Jorzy Afrika Kusini hadi Kiwalani Ukonga nchini Tanzania.
Chanzo Taarifa: Mtandao wa South African News
Nawasilisha.