Huenda Rais Magufuli akawa ameumaliza rasmi ule ubishi wa Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM

Tulinganishe Kwa Kozi moja moja au faculty Kama ifuatavyo
1.Engineering ya udsm na Engineering Ya saut Kwa vigezo vya Ufaulu wa cutt off points, vifaa vya kujifunzia, maabara, wataalam
2.LL.B ya udsm na LL. B sauti Kwa vigezo vya cutt off points, wataalam, maktaba nk
3.Education
4.udsm school of journalism na saut school of journalism
5.udsm College of social sciences na saut faculty /college of social sciences
 
Umesema sasa hv kimebaki jina tu maana ya kwamba hadhi yake kielimu imeshuka,
Njoo kwenye kwenye point hao wanaotumbuliwa wamesoma sasa hv? Au chuo kikishuka hadhi hata waliosoma zamani nao elimu yao inashuka hadhi.
Nijibu hapa
Katika Utafiti wangu mdogo tu na hasa kwa kumfuatilia Mheshimiwa Rais akiwa anachukizwa na Watendaji wake nikagundua kuwa wengi wao ni Wasomi wakubwa tu kutoka Chuo Kikuu cha UDSM ambacho huwa anapenda Kuwaokota huko mara kwa mara katika Teuzi zake Serikalini.

Na hata Uchunguzi wangu mdogo tu nimegundua kuwa wengi wa wale ambao Mheshimiwa Rais JPM amekuwa akiwatumbua na kuchukizwa nao kwa Utendaji wao mbovu pindi anapowateua ni kutoka hapo hapo UDSM.

Kuna Ubishani ambao nilikuwa nikiuona hapa Jukwaani kutoka kwa Members waliosoma UDSM na wale wa SAUT ila bahati mbaya sana Majina yao hao Members nimeyasahau lakini kuna Mmoja ni Mtetezi mzuri kabisa wa Chuo Kikuu chake cha SAUT ( nikimkumbuka nitamtaja ) alikuwa mara kwa mara akisema kuwa Chuo Kikuu cha UDSM sasa kimebaki tu Jina na wapo ambao walikuwa hawataki Kumuamini au Kukubaliana nae.

Kwa mtazamo wangu nadhani sasa mara baada ya Mheshimiwa Rais JPM kuwaita Mawaziri wake ambao ni Wasomi na Wanazuoni Waandamizi kabisa akina Kabudi na Mpango kuwa ni Wapumbavu katika Simu alizokuwa akiwapigia huenda hapa tayari lile Hitimisho la Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM likawa limepatikana. Kwani sijawahi kuona Mheshimiwa Rais akiwatukana Wasomi wa SAUT bali naona kila mara akiwatukana tu wa UDSM.

Tujadili.
 
Katika Utafiti wangu mdogo tu na hasa kwa kumfuatilia Mheshimiwa Rais akiwa anachukizwa na Watendaji wake nikagundua kuwa wengi wao ni Wasomi wakubwa tu kutoka Chuo Kikuu cha UDSM ambacho huwa anapenda Kuwaokota huko mara kwa mara katika Teuzi zake Serikalini.

Na hata Uchunguzi wangu mdogo tu nimegundua kuwa wengi wa wale ambao Mheshimiwa Rais JPM amekuwa akiwatumbua na kuchukizwa nao kwa Utendaji wao mbovu pindi anapowateua ni kutoka hapo hapo UDSM.

Kuna Ubishani ambao nilikuwa nikiuona hapa Jukwaani kutoka kwa Members waliosoma UDSM na wale wa SAUT ila bahati mbaya sana Majina yao hao Members nimeyasahau lakini kuna Mmoja ni Mtetezi mzuri kabisa wa Chuo Kikuu chake cha SAUT ( nikimkumbuka nitamtaja ) alikuwa mara kwa mara akisema kuwa Chuo Kikuu cha UDSM sasa kimebaki tu Jina na wapo ambao walikuwa hawataki Kumuamini au Kukubaliana nae.

Kwa mtazamo wangu nadhani sasa mara baada ya Mheshimiwa Rais JPM kuwaita Mawaziri wake ambao ni Wasomi na Wanazuoni Waandamizi kabisa akina Kabudi na Mpango kuwa ni Wapumbavu katika Simu alizokuwa akiwapigia huenda hapa tayari lile Hitimisho la Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM likawa limepatikana. Kwani sijawahi kuona Mheshimiwa Rais akiwatukana Wasomi wa SAUT bali naona kila mara akiwatukana tu wa UDSM.

Tujadili.
Unasema UDSM ilikuwa zamani sasa limebaki jina tu, eb tueleze hao unaosema wanatukanwa pumbavu na rais walisoma UDSM ipi, je ni hii unayoisema imebaki jina au ni ile iliyotengeneza jina. Mi naona kusema UDSM imebaki jina kwa kutumia mfano wa Kabudi ambaye kasoma pale UDSM ikiwa hot zaidi ya sasa ni hoja mfu, uking'ang'ania hoja hiyo inabid utuambie UDSM haijawahi kuwa bora tangu ianzishwe ukilinganisha na SAUT maana hao kina Kabudi wamesoma pale zamani mnoo ukisema chuo kimebaki jina kwa kuwatumia wao kama mfano ni nani wengine sasa watakuwa walisoma UDSM kabla yao.
Vilevile unasema Rais anatumbua watu wa UDSM, ni lini na ni wapi uliona ametumbua mtu wa UDSM na akaweka mtu wa SAUT japo sisemi anatumia kigezo cha chuo kutukana watu au kuchagua watu.
SAUT ni mbali sana, linganisha UDSM na ARDH, MUHAS, SUA 😀😀.
Mjadala wa kulinganisha UDSM na SAUT ni kupoteza mda maana nchi na dunia vinajua kipi ni chuo bora.
Katika Utafiti wangu mdogo tu na hasa kwa kumfuatilia Mheshimiwa Rais akiwa anachukizwa na Watendaji wake nikagundua kuwa wengi wao ni Wasomi wakubwa tu kutoka Chuo Kikuu cha UDSM ambacho huwa anapenda Kuwaokota huko mara kwa mara katika Teuzi zake Serikalini.

Na hata Uchunguzi wangu mdogo tu nimegundua kuwa wengi wa wale ambao Mheshimiwa Rais JPM amekuwa akiwatumbua na kuchukizwa nao kwa Utendaji wao mbovu pindi anapowateua ni kutoka hapo hapo UDSM.

Kuna Ubishani ambao nilikuwa nikiuona hapa Jukwaani kutoka kwa Members waliosoma UDSM na wale wa SAUT ila bahati mbaya sana Majina yao hao Members nimeyasahau lakini kuna Mmoja ni Mtetezi mzuri kabisa wa Chuo Kikuu chake cha SAUT ( nikimkumbuka nitamtaja ) alikuwa mara kwa mara akisema kuwa Chuo Kikuu cha UDSM sasa kimebaki tu Jina na wapo ambao walikuwa hawataki Kumuamini au Kukubaliana nae.

Kwa mtazamo wangu nadhani sasa mara baada ya Mheshimiwa Rais JPM kuwaita Mawaziri wake ambao ni Wasomi na Wanazuoni Waandamizi kabisa akina Kabudi na Mpango kuwa ni Wapumbavu katika Simu alizokuwa akiwapigia huenda hapa tayari lile Hitimisho la Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM likawa limepatikana. Kwani sijawahi kuona Mheshimiwa Rais akiwatukana Wasomi wa SAUT bali naona kila mara akiwatukana tu wa UDSM.

Tujadili.
 
Chuo kilichobaki Tanzania na UBORA wake ni Ardhi pekee
Hivi siku hizi ubora wa Chuo nyie mnaupimaje.Mimi zamani babu yangu mzaa baba wakati tunachagua chuo cha kujiunga kabla ya kufanya mtihani wa mwisho nilimuuliza nichague chuo gani bora kuliko vyote,Jibu.Nyerere amefanya vyuo vyote vimekuwa na ubora unaolingana kutokana na fani inayotolewa chuoni hapo.Hivyo chagua chochote.Na hili nilikuja kuliona baada ya kumaliza chuo kwa kuwa,utendaji wa mwanafunzi yeyote aliyemaliza kipindi hicho wote kwa fani zao tofauti tofauti ulikuwa wa hali ya juu sana.Ndio hao walioifikisha Tanzania hapa tulipo pamoja na kwamba hapa katikati walipoingia wazamiaji wakapoteza mwelekeo mzuri uliokuwepo.Wewe Ubora chuo unaupimaje.Njoo huku tuelewane aisee....
 
Kiongozi kuna vitu fulani huhitaji nguvu kuvishindanisha. Ni sawa unashindanisha Simba na Liverpool. Ni kujifurahisha tu. Kuna vyuo vimejengwa kwa misingi ya umri, reputation (muulize mwanafunzi yeyote anayetaka kwenda chuo chaguo lake la kwanza ni lipi kati ya UDSM na SAUT, kuna chuo atakikataa hata akiwa usingizini unless pass-marks zake ni ndogo na anajua zitamnyima sifa za kwenda chuo hicho kikongwe), walimu, tafiti, na pia usisahau UDSM ni comprehensive university.

UDSM ni chuo pekee Tanzania kilichopo miongoni mwa vyuo 16 vikongwe na bora barafu Afrika kupitia mwamvuli wa African Research Universities Alliance (ARUA).

SAUT kabla hata haijaingia kujilinganisha tu na UDSM iangalie quality of students and lecturers ilionao. Lakini pia staff:student ratio zinazosababisha college zake kama ya AJUCO Songea ifungwe kwa kukosa walimu na facilities.

Ni upuuzi tu kuanzisha thread zisizo kichwa wala miguu ambazo waanzishaji ni watu waliokosa nafasi ya kusoma vyuo vyenye sifa.
Sample ya wasomi wa udsm

Jk
Museven
Chato boy
Kabudi
Lile RC la mbeya
Ndu guy

Acha niishie hapo maana sampuli ya wasomi inajulikana inapoelekea
 
Tanzania leo tunalalama uchumi mbovu, hakuna utawala bora lakini ni matokeo ya unyumbu wa viongozi ambao wamesoma jalalani.......

Jalalani sasa hivi pamebakia na experience ya miaka tu na sio ubora wa elimu....sasa hivi mbakie mnajisifu kuwa jalala lenu lina umri mkubwa tu...

Imagine mwanafunzi anamaliza sheria udsm lakini akienda law school hatoboi, akitoboa ni kwa kusuasua sana compared na wenzie wa vyuo vingine,

Hata kwenye ajira siku hizi watoto wa udsm wanapelekwa mswaki tu.

So professor kabudi hakukosea aise, udsm mtabaki kuwa chuo mama lakini sasa mmepata vyuo baba, nyie bakini kuwa mama tu.....

JALALANI OYEEEEE
 
Katika Utafiti wangu mdogo tu na hasa kwa kumfuatilia Mheshimiwa Rais akiwa anachukizwa na Watendaji wake nikagundua kuwa wengi wao ni Wasomi wakubwa tu kutoka Chuo Kikuu cha UDSM ambacho huwa anapenda Kuwaokota huko mara kwa mara katika Teuzi zake Serikalini.

Na hata Uchunguzi wangu mdogo tu nimegundua kuwa wengi wa wale ambao Mheshimiwa Rais JPM amekuwa akiwatumbua na kuchukizwa nao kwa Utendaji wao mbovu pindi anapowateua ni kutoka hapo hapo UDSM.

Kuna Ubishani ambao nilikuwa nikiuona hapa Jukwaani kutoka kwa Members waliosoma UDSM na wale wa SAUT ila bahati mbaya sana Majina yao hao Members nimeyasahau lakini kuna Mmoja ni Mtetezi mzuri kabisa wa Chuo Kikuu chake cha SAUT ( nikimkumbuka nitamtaja ) alikuwa mara kwa mara akisema kuwa Chuo Kikuu cha UDSM sasa kimebaki tu Jina na wapo ambao walikuwa hawataki Kumuamini au Kukubaliana nae.

Kwa mtazamo wangu nadhani sasa mara baada ya Mheshimiwa Rais JPM kuwaita Mawaziri wake ambao ni Wasomi na Wanazuoni Waandamizi kabisa akina Kabudi na Mpango kuwa ni Wapumbavu katika Simu alizokuwa akiwapigia huenda hapa tayari lile Hitimisho la Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM likawa limepatikana. Kwani sijawahi kuona Mheshimiwa Rais akiwatukana Wasomi wa SAUT bali naona kila mara akiwatukana tu wa UDSM.

Tujadili.
Yaani kuwaita wahitimu wa chuo fulani, ambao wamekosea kitu katika utendaji wao wapumbavu ndio ihalalishe chuo kingine kuwa bora? SAUT ni chuo kichanga sana ktk game hii ya uelimishaji. After all waliokosea ni walimu wa miaka ambayo SAUT ilikuwa haijazaliwa. Pia tusisahau wahitimu wa UDSM wa miaka hiyo ndio waliweka misingi ambayo tunajivunia kama taifa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom