Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
@BAK, acha wauseme hadharani ili tuujue ujinga wao...Uongo wao huu uliokithiri waambiane wenyewe waliomo ndani ya magamba na Serikali dhalimu ya wauaji. Watanzania wengine uongo wao tumeshaustukia siku nyingi sana.